Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Natafuta mchumba nina umri wa miaka 28. Nafanya kazi nina mtoto mmoja. Ni mfupi maji ya kunde. Nahitaji mume ambae alie seriously na maisha mwenye upendo mcha Mungu dini yoyote ila awe na umri kuanzia miaka 38/45.

Niko seriously na alie sirously anifate pm Pls no jokes I'm serious.
Wangoje watakuja
 
Natafuta mchumba nina umri wa miaka 28. Nafanya kazi nina mtoto mmoja. Ni mfupi maji ya kunde. Nahitaji mume ambae alie seriously na maisha mwenye upendo mcha Mungu dini yoyote ila awe na umri kuanzia miaka 38/45.

Niko seriously na alie sirously anifate pm Pls no jokes I'm serious.
ni PM
 
Natafuta mchumba nina umri wa miaka 28. Nafanya kazi nina mtoto mmoja. Ni mfupi maji ya kunde. Nahitaji mume ambae alie seriously na maisha mwenye upendo mcha Mungu dini yoyote ila awe na umri kuanzia miaka 38/45.

Niko seriously na alie sirously anifate pm Pls no jokes I'm serious.
Umri kwangu ni janga la taifa
 
unazingua
Sizingui wala nini miaka 38 kama hujaoa ni tatizo kubwa chukulia mpk uoe na kuzaa utakuwa na miaka 40 ukizaa mtoto ukiwa 40 akifika miaka 10 wewe una 50 na akifika 20 ambako ndio anaanza chou wewe huko 60 (kibabu kabisa)
 
Duuh
Sizingui wala nini miaka 38 kama hujaoa ni tatizo kubwa chukulia mpk uoe na kuzaa utakuwa na miaka 40 ukizaa mtoto ukiwa 40 akifika miaka 10 wewe una 50 na akifika 20 ambako ndio anaanza chou wewe huko 60 (kibabu kabisa)
 
Sizingui wala nini miaka 38 kama hujaoa ni tatizo kubwa chukulia mpk uoe na kuzaa utakuwa na miaka 40 ukizaa mtoto ukiwa 40 akifika miaka 10 wewe una 50 na akifika 20 ambako ndio anaanza chou wewe huko 60 (kibabu kabisa)
Uko sahihi mkuu.

Ni vyema mtu ukiwa kwenye position nzuri uoe ukiwa na 27-30 ndio inapendeza zaidi, utainjoi pia na familia yako ingali bado una nguvu.

Lakini tunakosea, mtu akipata pesa za kuweza kuhudumia familia anakimbilia kula bata kwanza na kusahau kuoa na kuja kuoa akiwa na umri mkubwa sana.
 
Uko sahihi mkuu.

Ni vyema mtu ukiwa kwenye position nzuri uoe ukiwa na 27-30 ndio inapendeza zaidi, utainjoi pia na familia yako ingali bado una nguvu.

Lakini tunakosea, mtu akipata pesa za kuweza kuhudumia familia anakimbilia kula bata kwanza na kusahau kuoa na kuja kuoa akiwa na umri mkubwa sana.
Binafsi nimepata mtoto nikiwa 26 na nimekuja kumuoa mama mtoto nikiwa 28
 
Natafuta mchumba nina umri wa miaka 28. Nafanya kazi nina mtoto mmoja. Ni mfupi maji ya kunde. Nahitaji mume ambae alie seriously na maisha mwenye upendo mcha Mungu dini yoyote ila awe na umri kuanzia miaka 38/45.

Niko seriously na alie sirously anifate pm Pls no jokes I'm serious.
Nilikuwa nina nia ila kigezo cha umri ni kikwazo. Nikifikisha 38 nitakuwa nimeoa na nina watoto 2.
 
Back
Top Bottom