Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona waguna!!!!Mhuuu!
Wangoje watakujaNatafuta mchumba nina umri wa miaka 28. Nafanya kazi nina mtoto mmoja. Ni mfupi maji ya kunde. Nahitaji mume ambae alie seriously na maisha mwenye upendo mcha Mungu dini yoyote ila awe na umri kuanzia miaka 38/45.
Niko seriously na alie sirously anifate pm Pls no jokes I'm serious.
Nimeguna maana najua mwanangu wewe huko hauko kabisaaaMbona waguna!!!!
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Nimeguna maana najua mwanangu wewe huko hauko kabisaaa
ni PMNatafuta mchumba nina umri wa miaka 28. Nafanya kazi nina mtoto mmoja. Ni mfupi maji ya kunde. Nahitaji mume ambae alie seriously na maisha mwenye upendo mcha Mungu dini yoyote ila awe na umri kuanzia miaka 38/45.
Niko seriously na alie sirously anifate pm Pls no jokes I'm serious.
Umri kwangu ni janga la taifaNatafuta mchumba nina umri wa miaka 28. Nafanya kazi nina mtoto mmoja. Ni mfupi maji ya kunde. Nahitaji mume ambae alie seriously na maisha mwenye upendo mcha Mungu dini yoyote ila awe na umri kuanzia miaka 38/45.
Niko seriously na alie sirously anifate pm Pls no jokes I'm serious.
Ng'ombe hazeeki MAINI!!Duh... Unataka wenye miaka 38?? +
Hao washaishiwa nguvu
unazinguaMiaka 38 ambayo hajaoa ujue huyo ni jipu
Sizingui wala nini miaka 38 kama hujaoa ni tatizo kubwa chukulia mpk uoe na kuzaa utakuwa na miaka 40 ukizaa mtoto ukiwa 40 akifika miaka 10 wewe una 50 na akifika 20 ambako ndio anaanza chou wewe huko 60 (kibabu kabisa)unazingua
Sizingui wala nini miaka 38 kama hujaoa ni tatizo kubwa chukulia mpk uoe na kuzaa utakuwa na miaka 40 ukizaa mtoto ukiwa 40 akifika miaka 10 wewe una 50 na akifika 20 ambako ndio anaanza chou wewe huko 60 (kibabu kabisa)
Uko sahihi mkuu.Sizingui wala nini miaka 38 kama hujaoa ni tatizo kubwa chukulia mpk uoe na kuzaa utakuwa na miaka 40 ukizaa mtoto ukiwa 40 akifika miaka 10 wewe una 50 na akifika 20 ambako ndio anaanza chou wewe huko 60 (kibabu kabisa)
Binafsi nimepata mtoto nikiwa 26 na nimekuja kumuoa mama mtoto nikiwa 28Uko sahihi mkuu.
Ni vyema mtu ukiwa kwenye position nzuri uoe ukiwa na 27-30 ndio inapendeza zaidi, utainjoi pia na familia yako ingali bado una nguvu.
Lakini tunakosea, mtu akipata pesa za kuweza kuhudumia familia anakimbilia kula bata kwanza na kusahau kuoa na kuja kuoa akiwa na umri mkubwa sana.
Hapo ulikuwa kwenye position sana mkuuBinafsi nimepata mtoto nikiwa 26 na nimekuja kumuoa mama mtoto nikiwa 28
Nilikuwa nina nia ila kigezo cha umri ni kikwazo. Nikifikisha 38 nitakuwa nimeoa na nina watoto 2.Natafuta mchumba nina umri wa miaka 28. Nafanya kazi nina mtoto mmoja. Ni mfupi maji ya kunde. Nahitaji mume ambae alie seriously na maisha mwenye upendo mcha Mungu dini yoyote ila awe na umri kuanzia miaka 38/45.
Niko seriously na alie sirously anifate pm Pls no jokes I'm serious.