Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Kennedysr

New Member
Joined
Aug 25, 2017
Posts
3
Reaction score
1
Nina miaka 30 nakaa Dar, elimu yangu diploma ya business administration, mm ni mweupe wastani, mrefu wastani na mwembamba wastani, sina motto na wala sijawahi kuoa. Nafanya kazi japo sio nzuri sana. Nahitaji mwanamke mwenye sifa zifuatazo; asiwe mweusi, asiwe mnene wala mwembamba sana, asiwe mfupi wala mrefu sana, awe na elimu kama yangu au amenizidi au hata certificate ila asiwe nurse, awe anajishughulisha na shughuli inayomwingizia kipato, awe na miaka 22-25, awe anakaa Dar, awe hajawahi kuzaa wala kuolewa, awe mkristo lkn asiwe mlokole. Aliye tayari anifuate PM
 
Mkuu hivi hapo kwanini umemkataa nurse?nataka kujua tu
 
Back
Top Bottom