Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Sijawahi kuona Mwanamke anayejitongozesha au kutafuta Bwana Mitandaoni akawa ni mzuri ila najua tu kuwa wengi wao huwa ni Magari ya Mikaa ambapo ' tripu ' zao nyingi huwa ni Shambani na Gereji ( namaanisha kuwa wengi wao huwa wameshachoka ) na ' naniliu / something ' zao zikiwa hazitamaniki tena.
Ahahah we inakuhus nn pita vil mbon ww unasura nzito kama uji wa dona ...Ebu npishe usiniletee ukurut wako uku pelek uko mwili kunuk ...Imekuuma san mm kutaft kwa tasrif yak itakuuma san nakukuchom mi ndoivo natafut pita uko naushamb wako kama msukuma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahahah we inakuhus nn pita vil mbon ww unasura nzito kama uji wa dona ...Ebu npishe usiniletee ukurut wako uku pelek uko mwili kunuk ...Imekuuma san mm kutaft kwa tasrif yak itakuuma san nakukuchom mi ndoivo natafut pita uko naushamb wako kama msukuma

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa dada netti kusema na ushamba wake kama msukuma huoni kama umeshabagua wasukuma na kama mwenye nia ya kukuoa ni msukuma maana yake umeshakosa hapo.
 
Mama ulishapata? Kama bado ondoa shaka Mwenyezi Mungu amejibu Maombi yako,.. sasa ni Pm tuyamalize. Bila shaka wewe ni mweupe? Kama ndivo nipiem plz
 
Sorry nilinogewa nilijua namjib yule mwendawazim ...Ahaaa wasukum nisamehn tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Watakusamehe tu...
Haya jibu hili swali ili uondoe utata na hata yule atakayetaka kukutafuta seriously ajue anamtafuta mtu wa aina gani "wewe ni form six leaver kweli au mhitimu wa chuo/ulisoma chuo ukaacha/ukadisco au inakuaje?"
Maana kwenye uzi huu umesema umehitimu form six, lakini kuna nyuzi nyingine ulisema unasomea/una shahada...
Na sasa huna kazi, ungekuwa mkweli ili hata kama ni kazi mtu anaweza kukutafutia...
 
Watakusamehe tu...
Haya jibu hili swali ili uondoe utata na hata yule atakayetaka kukutafuta seriously ajue anamtafuta mtu wa aina gani "wewe ni form six leaver kweli au mhitimu wa chuo/ulisoma chuo ukaacha/ukadisco au inakuaje?"
Maana kwenye uzi huu umesema umehitimu form six, lakini kuna nyuzi nyingine ulisema unasomea/una shahada...
Na sasa huna kazi, ungekuwa mkweli ili hata kama ni kazi mtu anaweza kukutafutia...
Mmh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado mdogo, pambana kwanza angalau ikifika 30's ndo ulete tangazo. Huku tunataka walioenda age angalau
 
Ahahah we inakuhus nn pita vil mbon ww unasura nzito kama uji wa dona ...Ebu npishe usiniletee ukurut wako uku pelek uko mwili kunuk ...Imekuuma san mm kutaft kwa tasrif yak itakuuma san nakukuchom mi ndoivo natafut pita uko naushamb wako kama msukuma

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unasahau kama bandiko lako unatafta mchumba.
 
Mimi ni binti wa miaka 24 elimu yang kidato cha 6 ..Sina kazi naish tu home dar es salaam nawazaz wangu natafut mchumba aje kuwa mume
Sifa
Aweze kunipenda
awe mcha mungu
Aletayar kuoa sio kuchezea
Asanten nawakaribisha

Sent using Jamii Forums mobile app
nishapatikana bibie ushindwe wewe tu mrembo malkia wangu!! PM
 
Mdogo wangu Wachumba wa siku hizi hawataki wakaa nyumbani wasio na shughuri ya kufanya.

misstrace unachokisema ni kweli. Japo kwa maoni yngu wanaume wanakosea. Potentiality ya mwanamke haipo ktk kazi bali akili yke na akipata platform au fursa ya ku excute talent yke
 
Back
Top Bottom