financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
It's okay ,usijalii mkuu, ntampa services nyingi zaidi ya hyo sex,japo na hiyo ipoo.[emoji3] [emoji3] [emoji3] , ila kukaa kimya hivi,mwishowe ntaghairi sasaa[emoji3][emoji3] sorry! Lkn nilimaanisha ukishampata si ndo unampa hizo services
Kweli penye miti hapana wajenzi, jembe kakimbilia kusikojulikana! Itakuwa haamini neema imemshukia.It's okay ,usijalii mkuu, ntampa services nyingi zaidi ya hyo sex,japo na hiyo ipoo.[emoji3] [emoji3] [emoji3] , ila kukaa kimya hivi,mwishowe ntaghairi sasaa
[emoji3] [emoji3], nimeghairi kbs sasaKweli penye miti hapana wajenzi, jembe kakimbilia kusikojulikana! Itakuwa haamini neema imemshukia.
Daaah!! Hii inaitwa chelewa chelewa unakuta mwana si wako.[emoji3] [emoji3], nimeghairi kbs sasa
Ntapata wengine kama yeye wasio na vigezo vingi[emoji3] [emoji3] [emoji3]Daaah!! Hii inaitwa chelewa chelewa unakuta mwana si wako.
Kwanini unakwepa vigezo?Ntapata wengine kama yeye wasio na vigezo vingi[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hahaaa nitoe siri mkuu??, vigezo ni limitations tu aargh,Kwanini unakwepa vigezo?
Toa tu, kwani shida iko wapi?Hahaaa nitoe siri mkuu??, vigezo ni limitations tu aargh,
Natafuta Mchumba ili baadae aje kuwa Mke wangu,awe na miaka kuanzia 25-30,kama yupo ani PM
Akichelewa kusema funguka ww.Hahaaa, yawezekana kbs, ngoja aseme kama bado hajapata nimfate huko pm miye
Hahahaaa siku hiz alie juu mfuate huko huko hakuna kumsubiria chini. Ngoja nimalizie supu yangu ya ndimu na ugoro kwa maisha haya ya Ngosha kisha nitarudiAkichelewa kusema funguka ww.
hahaa, siyo rahisi mkuu, si unajua hulka yetu wadada ni ngumu kumfungukia mtu, ila sikua serious kihivyo banaaAkichelewa kusema funguka ww.
ooh, nipo kawaida tu mkuuπfinancial services you seems to be a very charming person
Duuuhooh, nipo kawaida tu mkuuπ
wee mwalamulsha vipi mbona unaguna??Duuuh
πππaiseeHaaaaaaaa... Mleta mada unalala sana! Wahi huku, financial services want to offer sxual services
na mimi nakuja pmππSafi sana huna vigezo vingi, just miaka 25-30 tu ngoja tusogee PM
Naona umeuvalia njuga huu uzi mpaka kielewekewee mwalamulsha vipi mbona unaguna??