Natafuta Mchumba

Natafuta Mchumba

Hahaha boss sikujua una roho mbaya hivi ndio nini kutuharibia sasa
ha ha ha ha ha sio hivyo mkuu inabidi kumpa ukweli, asitegemee kupata mtu sahihi kwa njia hii atakayemvumilia hasa pale atakapofilisika na kuishi kwenye nyumba ya makuti,kupata ulemavu,au kuugua na kushindwa kujihudumia n.k
 
Hahahaaa siku hiz alie juu mfuate huko huko hakuna kumsubiria chini. Ngoja nimalizie supu yangu ya ndimu na ugoro kwa maisha haya ya Ngosha kisha nitarudi
ndo hivyo Mkuu, yy akisubiria dodo lidondoke chini wenzake wanalishusha kwa mawe au wanalifuata huko huko juu (lazma utumie nguvu kupata vizuri).
 
Back
Top Bottom