NCHABIRONDA
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 298
- 107
Dar mm 26 kwahiyo nimeshakosa mchumba[emoji57][emoji57][emoji57]
Anatafuta beki tatu au.?
Dermis wewe konki utamtesa kijana wa watuDar mm 26 kwahiyo nimeshakosa mchumba[emoji57][emoji57][emoji57]
Dermis wewe konki utamtesa kijana wa watu
Humu hupati kamwe mkuuu, wamejaa maslay queen tu wasanii watu wa maigizo.wahi vijijini wamejaa huko unapata wenye sifa plus bikra juu
Jinsia yako please,
Mimi ni kijana wa kiume natafuta mchumba wa kike na sina ubaguzi wowote ule so kama wew ni jinsia kinzani please njoo tuyajenge.
BabuuuuuMungu akusimamie katika hitaji la moyo wako
Anatafuta beki tatu au.?
Mungu akusimamie katika hitaji la moyo wako
Kioo hakidanganyi sister, mwaonekana tu mnavyochangiaga humuWeeee hebu nitoe kwenye hilo kundi unajua mm ni nan? Nitakuchapaa ujue
Mkuu umekosa kotee mpaka uje jf kwenye ID fake....
Una gari?
Kioo hakidanganyi sister, mwaonekana tu mnavyochangiaga humu