NCHABIRONDA
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 298
- 107
Natafuta mchumba lakini awe na vigezo vifuatavyo;
1. Awe na umri kuanzia miaka 20- 25 tu.
2. Awe anajua kusoma vizuri na kuandika.
3. Awe anajua kupika vizuri na kufua vizuri.
4. Awe msafi kuanzia yeye mwenyewe na mazingira yote ya nyumbani.
5. Awe mkarimu, mwaminifu na asiwe na tabia za uchoyo maana kwangu mimi wageni hawakatiki hasa siku za mwisho wa wiki.
6. Asiwe na mtoto.
Mengine yote nitamvumilia ila 1- 6 hivi vigezo vizingatiwe.
Kwa mawasiliano zaidi naomba tuwasiliane kwenye e-mail yangu ya
mjukuuwakaswaga@gmail.com
1. Awe na umri kuanzia miaka 20- 25 tu.
2. Awe anajua kusoma vizuri na kuandika.
3. Awe anajua kupika vizuri na kufua vizuri.
4. Awe msafi kuanzia yeye mwenyewe na mazingira yote ya nyumbani.
5. Awe mkarimu, mwaminifu na asiwe na tabia za uchoyo maana kwangu mimi wageni hawakatiki hasa siku za mwisho wa wiki.
6. Asiwe na mtoto.
Mengine yote nitamvumilia ila 1- 6 hivi vigezo vizingatiwe.
Kwa mawasiliano zaidi naomba tuwasiliane kwenye e-mail yangu ya
mjukuuwakaswaga@gmail.com