blessed Fanikio
Senior Member
- Dec 20, 2017
- 127
- 118
Mimi ni kijana mwenye umri kati ya miaka 24_28.Natafuta mchumba ambaye yuko tayari aje tuyajenge tuanze maisha.
Kwa kuwakumbusha tu, sina nyumba wala gari, aje tuanze kuyajenga kwa pamoja
Natafuta mwanamke wa kutoka mkoa wowote ule, dini yoyote ile kwa sababu sioi dini naoa mtu,
Mimi kwa sasa nipo dar.
Kwa kuwakumbusha tu, sina nyumba wala gari, aje tuanze kuyajenga kwa pamoja
Natafuta mwanamke wa kutoka mkoa wowote ule, dini yoyote ile kwa sababu sioi dini naoa mtu,
Mimi kwa sasa nipo dar.