Msanumbi
Member
- Sep 15, 2018
- 43
- 36
Habari za jion Wana JF ....
Mm ni kijana umri 30+
-Urefu 5.4 nch
-Colour -mweupe kiasi
-islamic
-Nna watoto wa3 kila mmoja na mama yake,
-Ila nnaishi watoto wangu.
-Kaz yangu ni Mishen town tu Ila maisha yanaenda
Sifa za Mchumba[emoji116]
-Awe maji ya kunde au shombe wa kabila lolote kati ya somali au Arabian
-Umr 25+
-Awe na mwili kiasi
-Asiwe mfupi Sana
-Elimu ya dini Islamic ndo kipaumbele
Km uko tayar Pm plz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm ni kijana umri 30+
-Urefu 5.4 nch
-Colour -mweupe kiasi
-islamic
-Nna watoto wa3 kila mmoja na mama yake,
-Ila nnaishi watoto wangu.
-Kaz yangu ni Mishen town tu Ila maisha yanaenda
Sifa za Mchumba[emoji116]
-Awe maji ya kunde au shombe wa kabila lolote kati ya somali au Arabian
-Umr 25+
-Awe na mwili kiasi
-Asiwe mfupi Sana
-Elimu ya dini Islamic ndo kipaumbele
Km uko tayar Pm plz.
Sent using Jamii Forums mobile app