Natafuta Mchumba

Jenna97

New Member
Joined
Sep 30, 2020
Posts
1
Reaction score
15
Habari zenu.

Mimi ni binti wa miaka 23 naishi Dar es salaam kwa ndugu zangu. Ni mhitimu wa chuo ngazi ya stashahada ila bado sijafanikiwa kupata ajira.

Natafuta mwanaume mwaminifu na mwenye upendo wa kweli ambaye anaweza kuwa mchumba wangu na hatimaye Mungu akijalia kuwa mume.

Karibu PM kwa mawasiliano zaidi na kufahamiana.
 
Zama pm kwangu fasta. Kwani ule Uzi wang wa kutafuta MCHEPUKO hujauona? Basi njoo ue Mchepuko wangu rasmi na wa kudum na ntakuhudumja kwa kila kitu. It is like utakua MKE WA PILI. Nategemea utakuja pm
 
Naamini utapata hitaji la nafsi yako dada.
 
Zama pm kwangu fasta. Kwani ule Uzi wang wa kutafuta MCHEPUKO hujauona? Basi njoo ue Mchepuko wangu rasmi na wa kudum na ntakuhudumja kwa kila kitu. It is like utakua MKE WA PILI. Nategemea utakuja pm
Hivi hujampata tu hadi leo?
Ila huyu anatafuta mchumba rasmi sio mchepuko bana.
 
Mdogo wangu kwa umri wa miaka 23 jikite kwanza katika kusaka pesa.Hela ni mungu mdogo ambae hutatua kila aina ya tatizo la binadamu.Una chaguo moja kati ya haya mawili:

1.Fuata ushauri wangu na utakuja kunishukuru baadae

2.Endelea kutafuta mchumba na utakuja kuukumbuka ushauri wangu baadae
 
Kuna mdau huko juu namuunga mkono mia fil mia. Natilia mkazo ya kuwa muwe mnakuja tu PM moja kwa moja, ili muepuke usumbufu (Labda kama mnapenda usumbufu). Yaabi muwe mnatuchunguza kimya kimya, kisha unakuja kujaribu bahati yako.

Vipi uko radhi uwe mke wa nne ? Huku kwangu nafasi imebaki moja tu.
 
Huyo mtoto wa kike atafute pesa za nini, wakati atakuwa anazidisha maadui tu. Hiyo awekwe ndani asubirie kuletewa.

Umre wake mzuri sana wa kuolewa japo amechelewa kidogo. Ila siyo mbaya.
 
Unaweza kufahamiana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…