Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Una miaka 45?
Una watoto wangapi?
Mama yao yuko wapi?

Afu mwanaume umri wako inabidi asiwe ana lia lia njaa, vitu vya msingi kama nyumba na stable financially inabidi visikupe shida, tofauti na hapo mmmh.

Embu kuwa wazi wadada tuvutiwe na ndoa hii tufufuke ba Bwana yesu.[emoji1787][emoji1787]
Wewe nahisi unataka Mali basi zitafute zako.Mimi natafuta atakaenipenda tu,asiwe anajichubua na asiwe Ali divorce.Mimi sio shimo la taka.Najiamini na lazima nichague nikitakacho.Sitaki shangingi lililoshindikana.Sitaki mlevi Tena nakupima.
 
Mimi natafuta tu wa kuzaa nae..alafu alale mbereeee
 
Una miaka 45?
Una watoto wangapi?
Mama yao yuko wapi?

Afu mwanaume umri wako inabidi asiwe ana lia lia njaa, vitu vya msingi kama nyumba na stable financially inabidi visikupe shida, tofauti na hapo mmmh.

Embu kuwa wazi wadada tuvutiwe na ndoa hii tufufuke ba Bwana yesu.[emoji1787][emoji1787]
Mali zangu hazikuhusu,tafuta zako.
 
Wewe nahisi unataka Mali basi zitafute zako.Mimi natafuta atakaenipenda tu,asiwe anajichubua na asiwe Ali divorce.Mimi sio shimo la taka.Najiamini na lazima nichague nikitakacho.Sitaki shangingi lililoshindikana.Sitaki mlevi Tena nakupima.
Dah nimecheka eti nitafute mali zangu😂sasa unadhani at my age namiliki laptop na smartphone ?😂

Anyway,hizo sifa ni za kawaida sana almost wanawake wengi tunazo,sema watu wanaume wa mitandaoni ni vivuruge.wanawake wanaogopa sana kukutana na mtu mtandaoni, ukikosa humu husisha marafiki zako wa karibu watakuunganisha na mtu hutoamini.

All the best.
 
Back
Top Bottom