Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,886
- 1,038
- Thread starter
-
- #21
5.7ft Nina mtoto 1 nilimzaa kipindi Niko o level na mama yake aliolewa nikiwa Bado naendelea na masomo.Mtoto mwenyewe yuko nje na anajitegemea ni mtu mzimaUna ft ngapi? Una watoto wangapi?
😃😃😃😃5.7ft Nina mtoto 1 nilimzaa kipindi Niko o level na mama yake aliolewa nikiwa Bado naendelea na masomo.Mtoto mwenyewe yuko nje na anajitegemea ni mtu mzima
Wewe nahisi unataka Mali basi zitafute zako.Mimi natafuta atakaenipenda tu,asiwe anajichubua na asiwe Ali divorce.Mimi sio shimo la taka.Najiamini na lazima nichague nikitakacho.Sitaki shangingi lililoshindikana.Sitaki mlevi Tena nakupima.Una miaka 45?
Una watoto wangapi?
Mama yao yuko wapi?
Afu mwanaume umri wako inabidi asiwe ana lia lia njaa, vitu vya msingi kama nyumba na stable financially inabidi visikupe shida, tofauti na hapo mmmh.
Embu kuwa wazi wadada tuvutiwe na ndoa hii tufufuke ba Bwana yesu.[emoji1787][emoji1787]
Mali zangu hazikuhusu,tafuta zako.Una miaka 45?
Una watoto wangapi?
Mama yao yuko wapi?
Afu mwanaume umri wako inabidi asiwe ana lia lia njaa, vitu vya msingi kama nyumba na stable financially inabidi visikupe shida, tofauti na hapo mmmh.
Embu kuwa wazi wadada tuvutiwe na ndoa hii tufufuke ba Bwana yesu.[emoji1787][emoji1787]
Haya kazalishwe Mimi sitakiMimi natafuta tu wa kuzaa nae..alafu alale mbereeee
🤣🤣🤣🤣 Nawasubiri wajeHaya kazalishwe Mimi sitaki
Dah nimecheka eti nitafute mali zangu😂sasa unadhani at my age namiliki laptop na smartphone ?😂Wewe nahisi unataka Mali basi zitafute zako.Mimi natafuta atakaenipenda tu,asiwe anajichubua na asiwe Ali divorce.Mimi sio shimo la taka.Najiamini na lazima nichague nikitakacho.Sitaki shangingi lililoshindikana.Sitaki mlevi Tena nakupima.
Usifanye ivo momMimi natafuta tu wa kuzaa nae..alafu alale mbereeee
Unadhani namaanisha Basi kipenzi..hamna banaUsifanye ivo mom
BarikiwaUnadhani namaanisha Basi kipenzi..hamna bana
Ulizaliwa na dini gani? Uliyowakuta nayo wazazi wako!?