Natafuta mchumba

Kwan ni iyola wangu mbona unamsingiziaaaa
Sio kwamba nimenyamaza nimeyafuraia akuna jf umu mwanaume ambae amenipa Mimi elfu 50 Ila Kuna mbaba amenipa 7000 anaishi kimara Kona na Nina mawasiliano nae mazuri ukweli akuna kitu kinaniuma Kama mwanaume anaetak nimpe nyuma kwa shilingi elfu 4 na Mia 5 ingawaje Mimi SIJIUZI NA SIO MALAYA KAMA ALIVYONIFIKILIA
MIMI NI MPOLE SANA NA NAJITAMBUA LAKIN IKITOKEA UKANIDHALILISHA AU KUNIONEA KWA MAPUNGUFU YANGU LAZIMA NITAKUONEA PIA MWISHO WA SIKU SI MIMI ILA NITAEMLIPA NDIE ATAKIMBILIA JF. NA BANDIKO LA UONGO KUUSU MIMI YOLA .
ASANTENI
 
Bas ungetoa ata feedback...mm nmekutext mpk tsap... Ok lkn we wish you all the best.
 
Pole bhna mana ss tumehs n ww baada ya members umu kusema ivo...buh mm ilikua hainingi akln kbsa ok kama umepata mtu we wish u best of lucky.
 
Mi ni single mom, mtoto mmoja wa miaka 3, natafuta mchumba awe Mkristo, umri kuanzia 35+, asiwe Muhaya wala Mkurya, awe anajishughulisha!

ASANTE.
Tunaanzia hapa hapa
Hi mambo mida ya wanga usingizi umekata niko singo Lavalava mwongo kuwasingo sio raha tuongee sina masharti ..ninashughuli halali Mengine tutajuaga mbele kwa mbele Muda hauko upande wangu
 
Hi mambo mida ya wanga usingizi umekata niko singo Lavalava mwongo kuwasingo sio raha tuongee sina masharti ..ninashughuli halali Mengine tutajuaga mbele kwa mbele Muda hauko upande wangu
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…