goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Warumi 8 :37
Lakini katika mambo haya yote tunashinda ,na zaidi ya kushinda ,kwa yeye aliyetupenda ,±³8 kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba,Wala mauti ,Wala uzima,Wala malaika,Wala wenye mamlaka ,Wala waliopo,Wala yatakayokuwapo,Wala wenye uwezo,³9 Wala yaliyo juu,Wala yalio Chini ,wala kiumbe kinginecho chote HAKITA WEZA KUTUTENGA NA UPENDO WA MUNGU ULIO KATKA KRISTO YESU BWANA WETU
Lakini katika mambo haya yote tunashinda ,na zaidi ya kushinda ,kwa yeye aliyetupenda ,±³8 kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba,Wala mauti ,Wala uzima,Wala malaika,Wala wenye mamlaka ,Wala waliopo,Wala yatakayokuwapo,Wala wenye uwezo,³9 Wala yaliyo juu,Wala yalio Chini ,wala kiumbe kinginecho chote HAKITA WEZA KUTUTENGA NA UPENDO WA MUNGU ULIO KATKA KRISTO YESU BWANA WETU