Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
anaishi mbezi ya kimaraUmesahau unaishi Dar!![emoji6]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anaishi mbezi ya kimaraUmesahau unaishi Dar!![emoji6]
Pole sana na kila la kheri.Sifahamu kwasasa anaishi wapi Sina namba zake Sina mawasiliano nae na sifikilii kumtafuta kamwe
Kwasababu yeye bado ajaona umuhimu wa kunitafuta Mimi au mtoto toka alipotutelekeza na istoshe nilishafanya bidii y kumtafuta kwa siku kwa sms na kwa kupitia ndugu nk nk nk bila mafanikio
Binafsi nimechoka kuwa MPWEKE na mtoto wangu anamiak 3 nataman Kama mtoto wangu atapata baba ili nae aite baba maana kila siku uniambia mpigie simu baba naumia sio kwamba nammiss baba mtoto Ila namna mtoto wangu mdogo anavoniumiza hajui Kama baba yake alishamtelekeza toka akiwa na miez9 hajui kuwa baba yake si wa nguo Wala viatu Wala chakula ,hajui kuwa baba yake amemsusa nimeona nimtafutie mwanangu baba mwema
Kuna watu watapigwa hapa[emoji125][emoji125][emoji125]Msimu wa Sikukuu Disemba kila unayetongoza hakatai.
Ni mpaka tuonane ana kwa ana ndipo ule upendo wa ndani ya chemba za moyo utapojidhihilisha maana APA sjakuona nitakuw mnafki Kama nitakwambia MDA huu nakupenda saana labda niangalie pic yakoNingekukubalia lakini nihakikishie kwanza unanipenda kweli au unataka tu kunichezea na mimi uniache?
haiwezi kupatikana maana itajam Ila ashawapata kadhaa atabadilisha number then ataenda nao sàwa huwajui wanawake wewe!Asa ameweka namba haipatikan....she is not serious unaijua ss ma introvert tunapata shda sana
Pole sana...Sifahamu kwasasa anaishi wapi Sina namba zake Sina mawasiliano nae na sifikilii kumtafuta kamwe
Kwasababu yeye bado ajaona umuhimu wa kunitafuta Mimi au mtoto toka alipotutelekeza na istoshe nilishafanya bidii y kumtafuta kwa siku kwa sms na kwa kupitia ndugu nk nk nk bila mafanikio
Binafsi nimechoka kuwa MPWEKE na mtoto wangu anamiak 3 nataman Kama mtoto wangu atapata baba ili nae aite baba maana kila siku uniambia mpigie simu baba naumia sio kwamba nammiss baba mtoto Ila namna mtoto wangu mdogo anavoniumiza hajui Kama baba yake alishamtelekeza toka akiwa na miez9 hajui kuwa baba yake si wa nguo Wala viatu Wala chakula ,hajui kuwa baba yake amemsusa nimeona nimtafutie mwanangu baba mwema
Kupanda kwetu ndege mara kwa mara kunawachoma watu.Hakuna watu wanaongoza kuchukiwa tanzania hii km watu wa kanda ya ziwa hususan wahaya na wasukuma na hakuna sabab ya msingi ila wivu tuu
Bibie what if baba wa mtoto akijitokeza wewe ukiwa na mtu mwingine na ambae mtoto anamtambua kama baba??Sifahamu kwasasa anaishi wapi Sina namba zake Sina mawasiliano nae na sifikilii kumtafuta kamwe
Kwasababu yeye bado ajaona umuhimu wa kunitafuta Mimi au mtoto toka alipotutelekeza na istoshe nilishafanya bidii y kumtafuta kwa siku kwa sms na kwa kupitia ndugu nk nk nk bila mafanikio
Binafsi nimechoka kuwa MPWEKE na mtoto wangu anamiak 3 nataman Kama mtoto wangu atapata baba ili nae aite baba maana kila siku uniambia mpigie simu baba naumia sio kwamba nammiss baba mtoto Ila namna mtoto wangu mdogo anavoniumiza hajui Kama baba yake alishamtelekeza toka akiwa na miez9 hajui kuwa baba yake si wa nguo Wala viatu Wala chakula ,hajui kuwa baba yake amemsusa nimeona nimtafutie mwanangu baba mwema
Asiwe muhaya au mkurya 🤣🤣🤣🤣🤣🙆Mi ni single mom mtoto mmoja wa miaka 3, natafuta mchumba awe mkristo umri kuanzia 35+ asiwe muhaya Wala Mkurya . Awe anajishughulisha...!!
ASANTE
Natafuta mke sharti awe ana pumua.Mimi Nina 30, nipo tayar , shart langu huyo mwanao awe wa kike
Ajitokeze baada y mtoto kukua na kuhangaik nae ? Kama ataniendesha kichwa labda nimerogwa kiufupi anisumbui akili ni Mimi ndie nimezaa kwa uchungu na kumlea pekeyangu kwaiyo awez nisumbua kwa loloteBibie what if baba wa mtoto akijitokeza wewe ukiwa na mtu mwingine na ambae mtoto anamtambua kama baba??
Huoni kuleta uhasama baina ya mpenzi mpya na baba wa mtoto?? Na pia contadiction kwa mtoto kujua baba halisi ni yupi??
Msimu wa mavuno.Msimu wa Sikukuu Disemba kila unayetongoza hakatai.
Wewe una miaka mingapi?Elimu schagui mladi anajielewa sipendi wanyoa kiduku au wafuga afrooo
Si kufariki, je faza house yupo peponi au motoni?Dad ujanijibu Bab mtot amefariki au lah
Dadeki never miss mwenyekiti.Habari yako mammy