wewe unachezea ngapi
tuendele na madaArround 25-28
kumbe uko available....Mkuu punguza umri kidogo,taja dini yako nije PM chap kwa haraka
Halafu elimu ya fom fo lazima niambatanishe na cheti?manake mie kiukweli nilimaliza fom fo lakini cheti sikupewa sijui kwanini
[emoji23][emoji23]Mkuu punguza umri kidogo,taja dini yako nije PM chap kwa haraka
Halafu elimu ya fom fo lazima niambatanishe na cheti?manake mie kiukweli nilimaliza fom fo lakini cheti sikupewa sijui kwanini
vipi wewe tutegemee lini bandiko humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu punguza umri kidogo,taja dini yako nije PM chap kwa haraka
Halafu elimu ya fom fo lazima niambatanishe na cheti?manake mie kiukweli nilimaliza fom fo lakini cheti sikupewa sijui kwanini
🤣🤣🤣👋 Me tayari nina wangu Mahabuba My one and only Man😍🎀nampenda mpaka nampenda tena yaanvipi wewe tutegemee lini bandiko humu
I'm young dumb and broke😂nasubiria bandiko lako tu
Acha ukorofi mwangalie 🤣I'm young dumb and broke😂
naomba nialikwe kwenye harusi, najua lazima atakua bilionea kutakua na mpunga wa kwenda😂
Usichelewe sasakumbe uko available....
wacha nijiongeze😂
Sina cheti cha fom fo mkuu 😅Joannah mbona unajieleza sana fursa hiyo usiichezee[emoji3]
Sina uthibitisho wowote wa kunionesha niliwahi kusoma O level mkuuLeaving Certificate ipo lakini
anyway nitakubeba hivyohivyo kikubwa si ulifika lakiniSina uthibitisho wowote wa kunionesha niliwahi kusoma O level mkuu
Hata kama ni mgumba au alitoa mimba?Mimi ni kijana umri 36, nina elimu ya college, sijawahi kuoa na sina mtoto, napatikana Dar.
Natafuta rafiki wa kike umri 30-34, awe na elimu angalau form 4, asiwe amewahi kuolewa, kama ana mtoto asizidi 1, nahitaji mtu mwenye malengo na mawazo ya kimaendeleo.
Nahitaji mtu ambae kama tukiendana tuje kuingia kwenye mahusiano, kwa aliyetayari aje inbox.
Ndio ndio,nilifika aseeanyway nitakubeba hivyohivyo kikubwa si ulifika lakini