Natafuta mchumba

Na mm nataka mwanamke wa kuoa...umri umeanza kusonga...nipo 31yrs...mwajiliwa govt, sifa awe 20 to 27....awe mweupe mrefu, na mwili...dini yoyote.... normal call 0685292038, send m txt

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Una kazi ya kueleweka?
Sio watoto waanze kumiminika kumbe unaishi maisha ya "kuzuga"
 
Mm hapa
 
Mkuu punguza umri kidogo,taja dini yako nije PM chap kwa haraka

Halafu elimu ya fom fo lazima niambatanishe na cheti?manake mie kiukweli nilimaliza fom fo lakini cheti sikupewa sijui kw

Mkuu punguza umri kidogo,taja dini yako nije PM chap kwa haraka

Halafu elimu ya fom fo lazima niambatanishe na cheti?manake mie kiukweli nilimaliza fom fo lakini cheti sikupewa sijui kwanini
Hivi wewe una nini?? 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…