Natafuta mchumba

Natafuta mchumba kuanzia miaka 20 kuendelea mimi nina miaka 26
Kama unahisi unaweza kuingiza walau milion mbili na nusu kwa mwezi njoo PM nikupe namba ya dada ila ikiwa ni pungufu ya hapo nenda zako huko Keko , Tandika , Temeke na Vikindu utawapata wa hadhi yako .

Good luck japo nipo serious namtafuta mtu amuoe dada nimechoka na vibomu vyake ila sitaki kumkabidhi kwa masikini jeuri.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Utajiri unatengenezwa. Vp ikiwa amemuoa tu baada ya mwaka kipato kikapungua mpaka zero?
 
Weka picha ya uyo mtu
 
Hyo 2.5M nakua Nampa kila mwisho wa mwezi? Au ni kiasi cha pesa nachoweza kuingiza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…