majaliwa John daniel
New Member
- Jan 4, 2022
- 1
- 1
Natafuta mchumba kuanzia miaka 20 kuendelea mimi nina miaka 26.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unahisi unaweza kuingiza walau milion mbili na nusu kwa mwezi njoo PM nikupe namba ya dada ila ikiwa ni pungufu ya hapo nenda zako huko Keko , Tandika , Temeke na Vikindu utawapata wa hadhi yako .Natafuta mchumba kuanzia miaka 20 kuendelea mimi nina miaka 26
Utajiri unatengenezwa. Vp ikiwa amemuoa tu baada ya mwaka kipato kikapungua mpaka zero?Kama unahisi unaweza kuingiza walau milion mbili na nusu kwa mwezi njoo PM nikupe namba ya dada ila ikiwa ni pungufu ya hapo nenda zako huko Keko , Tandika , Temeke na Vikindu utawapata wa hadhi yako .
Good luck japo nipo serious namtafuta mtu amuoe dada nimechoka na vibomu vyake ila sitaki kumkabidhi kwa masikini jeuri.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Weka picha ya uyo mtuKama unahisi unaweza kuingiza walau milion mbili na nusu kwa mwezi njoo PM nikupe namba ya dada ila ikiwa ni pungufu ya hapo nenda zako huko Keko , Tandika , Temeke na Vikindu utawapata wa hadhi yako .
Good luck japo nipo serious namtafuta mtu amuoe dada nimechoka na vibomu vyake ila sitaki kumkabidhi kwa masikini jeuri.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Hapo dada yeye ataona lipi jema kuomba talaka au abaki kwenye shida .Utajiri unatengenezwa. Vp ikiwa amemuoa tu baada ya mwaka kipato kikapungua mpaka zero?
Pm naweza kukutumia oyaa Mad Max sisteri ni pini mwananguWeka picha ya uyo mtu
Dah mchawi 2.5m mzee. Ngoja tuone huu mwaka ukigeuka.Pm naweza kukutumia oyaa Mad Max sisteri ni pini mwanangu
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kama uko serious kabisa jitahidi mimi nitamtunza kabisaDah mchawi 2.5m mzee. Ngoja tuone huu mwaka ukigeuka.
Hyo 2.5M nakua Nampa kila mwisho wa mwezi? Au ni kiasi cha pesa nachoweza kuingiza tuKama unahisi unaweza kuingiza walau milion mbili na nusu kwa mwezi njoo PM nikupe namba ya dada ila ikiwa ni pungufu ya hapo nenda zako huko Keko , Tandika , Temeke na Vikindu utawapata wa hadhi yako .
Good luck japo nipo serious namtafuta mtu amuoe dada nimechoka na vibomu vyake ila sitaki kumkabidhi kwa masikini jeuri.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kiasi unachoweza kuingiza maana sitaki mzae watoto muanze kuniletea uncle kuleaHyo 2.5M nakua Nampa kila mwisho wa mwezi? Au ni kiasi cha pesa nachoweza kuingiza tu