mshakamshaka
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 355
- 647
Huu uchonganishi sasa,, muongo wadada wa jf hatupo ivo bwan usiogopeKuna mdada ameniomba nimsaidie kukuuliza kiwango cha mshahara wako
Mahusiano yakianza kuwa serious utasikia mwanamke anakwambia ningependa tujueane vizuri zaidi mpenziHuu uchonganishi sasa,, muongo wadada wa jf hatupo ivo bwan usiogope
Hayo sasa ya kwao huko na hao ulokutana nao bwan,,usimkoseshe mchumba mwenzio loooohMahusiano yakianza kuwa serious utasikia mwanamke anakwambia ningependa tujueane vizuri zaidi mpenzi
Hapo kuna swali la kazi unayofanya wasio na aibu wanauliza hadi mshahara
HahahaaHayo sasa ya kwao huko na hao ulokutana nao bwan,,usimkoseshe mchumba mwenzio looooh
Wacha tuzame pm sasaHahahaa
Haya sawa kazi kwenu warembo fursa hii huwa haijirudii mara mbili wachuchu ndio hao zama pm
Kumbe unakuwaga na majibu ya ajabu hiviiHapo kwenye umbo unge bainisha umbo gani
Trapeza ,pentagoni ,heksagon,mstatili ,duara, mraba au mche duara elewa
Hakuna mwanamke asiye na umbo ila hutofautiana
Umbo zuri la kike asiwe kibonge hua sipendi vibonge.Hapo kwenye umbo unge bainisha umbo gani
Trapeza ,pentagoni ,heksagon,mstatili ,duara, mraba au mche duara elewa
Hakuna mwanamke asiye na umbo ila hutofautiana