Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Natafuta mchumba.
Mwenye miaka 19 to 25
Mwenye umbo na haiba ya kike.
Aliye tayari kuanza maisha.
Mimi ni mtumishi wa serikali.
Elimu degree.
Nina miaka 33.
Mengine yanazungumzika njoo pm kwa taarifa zaidi.
Nina dada yangu ana watoto wawili umri miaka 25

Ngoja nimpe dili la mtumishi wa serikali
 
Natafuta mchumba.
Mwenye miaka 19 to 25
Mwenye umbo na haiba ya kike.
Aliye tayari kuanza maisha.
Mimi ni mtumishi wa serikali.
Elimu degree.
Nina miaka 33.
Mengine yanazungumzika njoo pm kwa taarifa zaidi.
mwenye umbo na haiba ya kike, right? una maanisha nini hapo?

na by the way,
wewe ni me au ke muungwana?🐒
 
Natafuta mchumba.
Mwenye miaka 19 to 25
Mwenye umbo na haiba ya kike.
Aliye tayari kuanza maisha.
Mimi ni mtumishi wa serikali.
Elimu degree.
Nina miaka 33.
Mengine yanazungumzika njoo pm kwa taarifa zaidi.
Mwenye umbo na haiba ya kike?? una uhakika na hili ndugu mtumishi wa serikali?
 
Back
Top Bottom