Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapo ana tafuta mwenza, au tatizo.Ungeweka kazi yako ingekua unyama
Unapoenda kuanza shule kuna sifa/vigezoSasa hapo ana tafuta mwenza, au tatizo.
maana mwenza una zungumza ulivyo, na sio ulicho nacho.
Kweli? Hata mpare unaoa tuu?Nina miaka 32 natafuta mwanamke tufunge ndoa awe muislam umri 19/25 kabila lolote lile
Tena kama ni mchezaji aitwe Guede angelamba jike sasa hivi.Ungeweka kazi yako ingekua unyama
dada zetu walikupiga tukio nnKweli? Hata mpare unaoa tuu?
Hivyo vigezo vya uhusiano humu, huoni vita tibua mfumo wa mahusiano imara??Unapoenda kuanza shule kuna sifa/vigezo
Unapoenda kutafuta kazi kuna sifa/vigezo
Unapoenda kununua kitu kuna sifa/vigezo
Hope umenielewa
unapoenda kununua mwali kuna sifa/vigezo ili asije lala njaaUnapoenda kununua kitu kuna sifa/vigezo
Ume hitimisha vizuri😂🤣, ngoja nami niandike natafuta mchumbaunapoenda kununua mwali kuna sifa/vigezo ili asije lala njaa
uwe na kazi nzuri lasivyo utatesekaUme hitimisha vizuri😂🤣, ngoja nami niandike natafuta mchumba
BabeUngeweka kazi yako ingekua unyama
Wenzako wanaoa we unakazania Nyetto tuh.unapoenda kununua mwali kuna sifa/vigezo ili asije lala njaa