Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Kwenye miaka umeniacha ila vigezo vingine vipo sawa.
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 ninatafuta sugar mammy atakakekuwa na mapenzi ya dhati kwangu. Kama kunaatakayekuwa tayaru asisite tafadhali awasiliane na mimi kwa Email: info.bakema@yahoo.com
 
Sawa dada yangu Mmme mwema mtu hupewa na bwana. Unapoweka vigezo flani basi huna shida na mchumba. Halafu istoshe inaelekea wwe ni mcha mungu na ndio maana umeweka kigezo cha mcha mungu ni vema lakini kwa kiwango cha elimu ninaamini haujafanya chaguzi sahihi katika maneno nyako. Tangaza kanisani au msikitini then omba saaaaaana mungu wako. huku ukiwa na imani na utafanikiwa kwani mungu huwa hamtupi mja wake.
 
Sijawah kusikia mapenzi yanataka uwe umesoma! Lkn chuo ngazi ipi certificate, diploma, or digree? Unatak nn jielezee!
 
Why?
Kwa nini unadhani ni spam?

Ndio wanavyoandika hivi na mwisho wanaweka e mail address kama sio aweke namba yake ya simu wat wamuendee hewani... hubu nitumie namba yako king'ast nikuambie kitu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom