Polisi ben
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 303
- 83
- Thread starter
- #21
Kuna dada namfahamu yupo maeneo ulipo,ni muda mrefu sana anatafuta mtu wa kumuoa ila bahati huwa haiji kwake kwani ni mlemavu wa miguu yote pia macho hayafanyi kazi ila nitajaribu kuwasiliana nae ili akutafute na natumai Mungu akipenda ndiye atakuwa mke wako na wana JF tutakuja kufurahi nawe ewe mzalendo wa mapenzi ya dhati.
acha uchokozi bana