malifimbo
Senior Member
- Apr 2, 2013
- 127
- 29
Mimi ni kijana wa miaka 25 nasoma chuo kikuu mwaka wa mwisho now.natafuta girlfriend ambaye badae atakuwa my wife nipo serious na hili.kwa sasa nipo chuoni dar na juni mwezi ujao nahitimu shahada yangu.mimi ni mkristo
napenda msichana mwenye kujiheshimu na mwenye kufikiri mbali,awe mkristo miaka kuanzia 19-28,asiwe mnene ,awe naelimu kuanzia form six na kuendelea
napenda msichana mwenye kujiheshimu na mwenye kufikiri mbali,awe mkristo miaka kuanzia 19-28,asiwe mnene ,awe naelimu kuanzia form six na kuendelea