Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

banizle

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2008
Posts
217
Reaction score
58
Mm ni kijana wa kiume wa miaka 27 ni mfanya biashara katika mikoa ya dodoma na morogoro. Nina elimu ya chuo kikuu. Natafuta mwanamke ambaye mwisho wa siku nifungenae pingu za maisha. Umri usiozidi miaka 33. Akitokea morogoro itakua vizuri zaidi. PM If ur interested.
 
Back
Top Bottom