Ps2 Member Joined Aug 12, 2013 Posts 44 Reaction score 2 Aug 21, 2013 #1 Me ni mwanaume natafuta mchumba wa aina yeyote ila umri kuanzia miaka 18-22 anicheki ani sms PM then ntamjibu
Me ni mwanaume natafuta mchumba wa aina yeyote ila umri kuanzia miaka 18-22 anicheki ani sms PM then ntamjibu
Viva89 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2012 Posts 1,261 Reaction score 528 Aug 21, 2013 #2 wa aina yeyote?..mh
kyannala nabiso JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 645 Reaction score 143 Aug 21, 2013 #3 yani yoyote yule we twende? dhu!!! kila la kheri!!!!
Ps2 Member Joined Aug 12, 2013 Posts 44 Reaction score 2 Aug 21, 2013 Thread starter #4 Wa aina yeyote bt anayejieshimu@viva
Ps2 Member Joined Aug 12, 2013 Posts 44 Reaction score 2 Aug 21, 2013 Thread starter #5 kyannala nabiso said: yani yoyote yule we twende? dhu!!! kila la kheri!!!! Click to expand... anayejieshimu@kyannala
kyannala nabiso said: yani yoyote yule we twende? dhu!!! kila la kheri!!!! Click to expand... anayejieshimu@kyannala
kyannala nabiso JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 645 Reaction score 143 Aug 21, 2013 #6 Ps2 said: anayejieshimu@kyannala Click to expand... Wanao jiheshimu ni wengi, hata wazee wakina mama wewe ulikuwa unamaanisha wa aina gani?
Ps2 said: anayejieshimu@kyannala Click to expand... Wanao jiheshimu ni wengi, hata wazee wakina mama wewe ulikuwa unamaanisha wa aina gani?
Chibolo JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 5,181 Reaction score 6,813 Aug 21, 2013 #7 Haujapataga tu bro,naomba unikumbushe hivi huu ni uzi wako wa ngapi vile unatafuta mchumba!
K kiwawira Member Joined Aug 11, 2013 Posts 10 Reaction score 2 Aug 21, 2013 #8 Njoo Mbulu Utawapata Hao Yeyote
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 56,205 Reaction score 79,515 Aug 21, 2013 #9 Msebule hautaki? Mjiko je? Mchumba lazima uwe na msebule na mjiko au vp?
buhange JF-Expert Member Joined Oct 23, 2011 Posts 505 Reaction score 110 Aug 21, 2013 #10 Daaaah! Ngekewa hii, ngoja nikamjulishe yule Bibi jirani yangu kitambo sana anatafuta mume, ntarud tena kuleta taarifa ya mafanikio kwako
Daaaah! Ngekewa hii, ngoja nikamjulishe yule Bibi jirani yangu kitambo sana anatafuta mume, ntarud tena kuleta taarifa ya mafanikio kwako
Ps2 Member Joined Aug 12, 2013 Posts 44 Reaction score 2 Aug 21, 2013 Thread starter #11 buhange said: Daaaah! Ngekewa hii, ngoja nikamjulishe yule Bibi jirani yangu kitambo sana anatafuta mume, ntarud tena kuleta taarifa ya mafanikio kwako Click to expand... namngoja kwa hamu
buhange said: Daaaah! Ngekewa hii, ngoja nikamjulishe yule Bibi jirani yangu kitambo sana anatafuta mume, ntarud tena kuleta taarifa ya mafanikio kwako Click to expand... namngoja kwa hamu
Ps2 Member Joined Aug 12, 2013 Posts 44 Reaction score 2 Aug 21, 2013 Thread starter #12 buhange said: Daaaah! Ngekewa hii, ngoja nikamjulishe yule Bibi jirani yangu kitambo sana anatafuta mume, ntarud tena kuleta taarifa ya mafanikio kwako Click to expand... poa nawait
buhange said: Daaaah! Ngekewa hii, ngoja nikamjulishe yule Bibi jirani yangu kitambo sana anatafuta mume, ntarud tena kuleta taarifa ya mafanikio kwako Click to expand... poa nawait
Ps2 Member Joined Aug 12, 2013 Posts 44 Reaction score 2 Aug 21, 2013 Thread starter #13 King Kong III said: Msebule hautaki? Mjiko je? Mchumba lazima uwe na msebule na mjiko au vp? Click to expand... wote kwa ujumla
King Kong III said: Msebule hautaki? Mjiko je? Mchumba lazima uwe na msebule na mjiko au vp? Click to expand... wote kwa ujumla
Ps2 Member Joined Aug 12, 2013 Posts 44 Reaction score 2 Aug 21, 2013 Thread starter #14 kiwawira said: Njoo Mbulu Utawapata Hao Yeyote Click to expand... mpe email yangu aseiy
Ps2 Member Joined Aug 12, 2013 Posts 44 Reaction score 2 Aug 21, 2013 Thread starter #15 Chibolo said: Haujapataga tu bro,naomba unikumbushe hivi huu ni uzi wako wa ngapi vile unatafuta mchumba! Click to expand... uncounted aseiy bt i want kuwa na m1
Chibolo said: Haujapataga tu bro,naomba unikumbushe hivi huu ni uzi wako wa ngapi vile unatafuta mchumba! Click to expand... uncounted aseiy bt i want kuwa na m1
Horseshoe Arch JF-Expert Member Joined Aug 10, 2009 Posts 13,403 Reaction score 12,775 Aug 21, 2013 #16 Mchumba wa aina yeyote ina maana wa kuolewa nawe ama wa kukuoa,tengua kitendawil hiki!
Ps2 Member Joined Aug 12, 2013 Posts 44 Reaction score 2 Aug 22, 2013 Thread starter #17 Horseshoe Arch said: Mchumba wa aina yeyote ina maana wa kuolewa nawe ama wa kukuoa,tengua kitendawil hiki! Click to expand... kumuowa
Horseshoe Arch said: Mchumba wa aina yeyote ina maana wa kuolewa nawe ama wa kukuoa,tengua kitendawil hiki! Click to expand... kumuowa
IGUDUNG'WA JF-Expert Member Joined Oct 22, 2011 Posts 2,071 Reaction score 1,317 Aug 22, 2013 #18 kuna jamaa jirani ynagu ni shoga uko tayari?.... kama unamtaka huyo shoga sema nikuwekee namba yake hapa
kuna jamaa jirani ynagu ni shoga uko tayari?.... kama unamtaka huyo shoga sema nikuwekee namba yake hapa
Ps2 Member Joined Aug 12, 2013 Posts 44 Reaction score 2 Aug 22, 2013 Thread starter #19 Me nataka mchumba na sio shoga n kama shoga ningesema shoga kidogo kuwa criaz kwenye hl
Mwanamalundi JF-Expert Member Joined Aug 30, 2007 Posts 3,125 Reaction score 1,435 Aug 22, 2013 #20 Umepata. Anaitwa jane Mantuntela. Anaishi kigogo. Email yake. Jane_Mantu88@yahoo.com.