Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Ps2

Member
Joined
Aug 12, 2013
Posts
44
Reaction score
2
Me ni mwanaume natafuta mchumba wa aina yeyote ila umri kuanzia miaka 18-22 anicheki ani sms PM then ntamjibu
 
Wa aina yeyote bt anayejieshimu@viva
 
Haujapataga tu bro,naomba unikumbushe hivi huu ni uzi wako wa ngapi vile unatafuta mchumba!
 
Msebule hautaki? Mjiko je? Mchumba lazima uwe na msebule na mjiko au vp?
 
Daaaah! Ngekewa hii, ngoja nikamjulishe yule Bibi jirani yangu kitambo sana anatafuta mume, ntarud tena kuleta taarifa ya mafanikio kwako
 
Daaaah! Ngekewa hii, ngoja nikamjulishe yule Bibi jirani yangu kitambo sana anatafuta mume, ntarud tena kuleta taarifa ya mafanikio kwako

namngoja kwa hamu
 
Mchumba wa aina yeyote ina maana wa kuolewa nawe ama wa kukuoa,tengua kitendawil hiki!
 
kuna jamaa jirani ynagu ni shoga uko tayari?.... kama unamtaka huyo shoga sema nikuwekee namba yake hapa
 
Me nataka mchumba na sio shoga n kama shoga ningesema shoga kidogo kuwa criaz kwenye hl
 
Umepata. Anaitwa jane Mantuntela. Anaishi kigogo. Email yake. Jane_Mantu88@yahoo.com.

106274_04_1_20121228220516.jpg
 
Back
Top Bottom