Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

mtoto mdogo

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
501
Reaction score
130
Mimi ni mvulana mwenye umr 24 natafuta mtu msichanà alie na 20 yrs ni Pm kama vp sifa awe na tabia njema ............
 
Mimi ni mvulana mwenye umr 24 natafuta mtu msichanà alie na 20 yrs ni Pm kama vp sifa awe na tabia njema ............

Toa ujinga wako hapa ,, kwa umri huo kazima utakua na wazazi na hata babu na bibi.. mbona unaidhalilisha familia yako?? mtaani , kanisani, msikitini kwenu umekosa wa kuoa mpaka uje kutafuta vigulunyembe humu? humu kuna magumegume waliyo kubuhu utakuja juza mtoto wangu .. wazazi wako tupo tutakusaidia lakini sio humu tafadhari tupe heshima
 
Toa ujinga wako hapa ,, kwa umri huo kazima utakua na wazazi na hata babu na bibi.. mbona unaidhalilisha familia yako?? mtaani , kanisani, msikitini kwenu umekosa wa kuoa mpaka uje kutafuta vigulunyembe humu? humu kuna magumegume waliyo kubuhu utakuja juza mtoto wangu .. wazazi wako tupo tutakusaidia lakini sio humu tafadhari tupe heshima

Wa huku mtaan hawanitaki
 
Wa huku mtaan hawanitaki


nakuomba sana kijana wangu,, kwa umri huo wewe ni kama mwanangu,, huku hakuna wake... just imagine a girl to accept a man through social media for sure huyo bint atakua ana makubwa sana.... turudi kwenye ethics zetu ka enzi na enzi ,,, nakushauri uende kanisani muone mchungaji au mama wa kanisa,, na kama ww ni muislam please muone imam wako au kiongozi wa akina mama wa kiislam... wanawake wapo tatizo mnawatafutia Bar na Club na huko wa maana hawapatikani... kama unasema wanakukataa basi jichunguze yawezakuwa unatabia mbaya ,, jirekebishe na Allah/God atakujazi
 
nakuomba sana kijana wangu,, kwa umri huo wewe ni kama mwanangu,, huku hakuna wake... just imagine a girl to accept a man through social media for sure huyo bint atakua ana makubwa sana.... turudi kwenye ethics zetu ka enzi na enzi ,,, nakushauri uende kanisani muone mchungaji au mama wa kanisa,, na kama ww ni muislam please muone imam wako au kiongozi wa akina mama wa kiislam... wanawake wapo tatizo mnawatafutia Bar na Club na huko wa maana hawapatikani... kama unasema wanakukataa basi jichunguze yawezakuwa unatabia mbaya ,, jirekebishe na Allah/God atakujazi

Daah usemayo ni kweli ngoja nikayafanye hayo
 
Back
Top Bottom