Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

jamani nifundisheni ku PM dont ignore
Click on the name of anyone you want to PM you will see:
View Profile View Forum Posts
Private Message View Articles
Add as contact Send email
Choose what suits you.
Unaweza kuanza na kuni PM, kwa kujaribu tu.
Good luck
 
Jamani siku hizi watu kupata mchumba kwenye JF ni kazi sana.
pole lakini ila unaweza match na huyo mdada aliye na watoto 5 jumla mkawa na watoto 8. inawafaa sana:decision:
 
Ndugu zangu habari za saa hizi
Najua wengi wetu tumeishapona vidonda vya uchaguzi na mimi ndo nimemaliza hekaheka za uchaguzi naweza kupumzka nyumbani. Mapumziko yangu yamenifanya nitafute mwenza wangu wa kunifaa maishani, niliyekuwa naye tumeachana miaka 7 iliyopita aliniachia watoto watatu.
Jamani naomba msaada wenu bila kubezana

Sifa
Awe wa kike umri kuanzia miaka 35-40
awe mcha mungu
awe tayari kupenda watoto wangu na kuwatunza
awe dini yoyote
hasiwe mchuma hela

Natanguliza shukurani

Vigezo vyote poa ila hilo jina lako ndo linatia kichefuchefu naona kama utanitesa sana ukiniweka ndani!!!!
 
Vigezo vyote poa ila hilo jina lako ndo linatia kichefuchefu naona kama utanitesa sana ukiniweka ndani!!!!

Jamani eti wewe ni dada au ni mkaka yule
Anaye penda nanili..
samahani mpendwa kwa hilo swali
 
JK bado hujapata tu tangu mwaka jana? Kama bado hujapata ongezea kigezo.... ''awe mpenda CCM''
 
Bado dear, nahisi tatizo watu walianzisha misred ya mizaha kibao mpaka watu makini wakatupotezea wote.

Oohh pole my dear
mambo mazuri yako njiani
usijali na sie tuko hapa kukutuliza
Mpaka kieleweke hahaha lol
 
Vigezo vyote poa ila hilo jina lako ndo linatia kichefuchefu naona kama utanitesa sana ukiniweka ndani!!!!

Duuu wewe dada kumbe....sasa ndio nimeamini humu ndani ni noma.....
 
hayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!! mwenye macho haambiwi tazama!!!

watakutafuta!!
 
Back
Top Bottom