natafuta mchumba,,,,,

Nadhani nitakuwa ni mimi,maana hatamimi nimeoteshwa kuwa mwenzi wangu yupo humu kwenye jf,kwa hiyo ni jambo la furaha sana hilo cheusimangala.:whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo:
 
Hata shetani ana maono pia




Heri niwe muongo kwa kusema ukweli, kuliko kuwe mkweli kwa kusema uongo
 
mpaka nywele ziache kusisimka ndo ntatangaza,ucjali vuta subira,mie na wewe lazima tuwe mwili mmoja.

Hilo la kuwa mwili mmoja siliwezi. Yaani nisichepuke peke yangu? Cheusi, kwa hilo uchumba umekufa. Nataka kubaki na mwili wangu na wewe wako. Wimbo ufuatao, uwe kivunja uchumba.

Nakupenda bibi kizee, nakupenda kikongwe,...tongotongo nalamba,.....x10
 
Hilo la kuwa mwili mmoja siliwezi. Yaani nisichepuke peke yangu? Cheusi, kwa hilo uchumba umekufa. Nataka kubaki na mwili wangu na wewe wako. Wimbo ufuatao, uwe kivunja uchumba.

Nakupenda bibi kizee, nakupenda kikongwe,...tongotongo nalamba,.....x10

tafadhali mpenzi usiniache,siwezi kuishi bila wewe,i love u so very much,ntakunywa sumu haki ya nani najiua kuliko kukuona na mwanamke mwingine,yaani umenipa mapenzi ambayo sijawahi pewa kabla afu leo hii ghafla tu unasema unaniacha.siwezipata mwingine anayenifikisha ahera ya maraha kama wewe swetie parachichi papaya sugarcane.nikikuona na another chick namuua kisha najiua.nipnee huruma hebu ona machozi yalivyonikauka kwa huzuni.(nenda mwanakwenda kwanza nilikua nakuchuna tu).
 
Nadhani nitakuwa ni mimi,maana hatamimi nimeoteshwa kuwa mwenzi wangu yupo humu kwenye jf,kwa hiyo ni jambo la furaha sana hilo cheusimangala.:whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo:

tatizo wengi mnasema hivyo baada ya muda mnanipiga kibuti,sijui nimetupiwa mkosi.
 

Cheusi nakurudia kwa masharti mawili tu: 1.Upepo ni dawa. Dr. Ndodi (Itumbi Hotel Manzese). 2. Tusiwe mwili mmoja, maana mimi mwoga wa kukojoa nimechuchumaa. Kila mtu abaki alivyoumbwa na Mungu.

Ila unaonekana ukimbana mwanamume mpaka ndugu zake wahangaike kumrudisha.

Sawa?
 
kweli nimepotea,make watu wametafuta wachumba hadi wamepata na hadi kupigana vibuti hata sijui.endelea na maombi mama labda yatajibu.
 
Ha ha haaaa, kama hauko singo then umepata maono ya mwenzi wako.... by any means huyo ni pepo wa ngono, mkemee haraka kabla hajakutia majaribuni na kukuangusha dhambini!!!
 
Cheusi!! Cheusi!!...sasa ukisikia uchakachuaji ndio huu,,,,.Ukija nyumbani leo nakutwanga talaka 3,inamaana sikutoshelezi au??
 
Cheusi!! Cheusi!!...sasa ukisikia uchakachuaji ndio huu,,,,.Ukija nyumbani leo nakutwanga talaka 3,inamaana sikutoshelezi au??

tatizo lako nikikosea kidogo tu unantisha na talaka,saa ivi siogopi tena wala nini.najua huwezi kuniacha.
 

Usiku wa kuamkia j 2 niliota mke wangu kakimbia na msudani aliefanana na kakakiiza nikawa kwenye mawazo sana akaja sista mmoja mrefu mweusi mwenye ngozi laini,macho ya kusinzia,sauti ya k-lynn akaniambia usiwe na hofu hata mie nimetendwa tufarijiane tuishi pamoja milele sasa sijui ni wewe nini cheusi ?
 


Kuwa makini huyo siyo roho mtakatifu bali ni roho mtaka-chuchu, we umesema hauko singo halafu huyo roho anakusisitiza mwenza wako yuko humu mmmh! sijui embu angalia angalia hao members wapya walijiunga Nov 2010 ukute roho mtaka chuchu amemleta mmoja kwa ajili yako.
 

sijawahi kutendwa ila tunaweza kuiadjust ndoto yako coz hayo mengine yote yanaendana.lkn ulivaa shati la kitenge na 4 angle maana hiyo ndio ishara kuu niliyoopewa.
 

bado niko ktk maombi kuhakikisha kuwa hakuna roho yoyote toka kuzimu inahusika.BTW umeniua mbavu hapo ktk bold.
 
bado niko ktk maombi kuhakikisha kuwa hakuna roho yoyote toka kuzimu inahusika.BTW umeniua mbavu hapo ktk bold.

sio wote wasemao Bwana bwana watauona ufalme wa Mungu...watafsiri wote waliomtafsiria mfalme nebukadreza ndoto yake waliuawa isipokuwa Danieli aliyepatia....MIMI HAPA>>.
 
kweli nimepotea,make watu wametafuta wachumba hadi wamepata na hadi kupigana vibuti hata sijui.endelea na maombi mama labda yatajibu.

nadhani weye ndo wahitaji kusugua goti mie maombi yangu yashajibiwa,au hujui kusoma hapo kuwa nishaoneshwa mwenza wangu.anza maombi unayahitaji shoste.
 
sio wote wasemao Bwana bwana watauona ufalme wa Mungu...watafsiri wote waliomtafsiria mfalme nebukadreza ndoto yake waliuawa isipokuwa Danieli aliyepatia....MIMI HAPA>>.

hapo ndo umenichanganya,sasa wewe ndo ulipatia kama Daniel au wewe ndiye aliyevaa 4 angle na shati la kitenge.
napata hisia kuwa u buheri wa afya.
 
sijawahi kutendwa ila tunaweza kuiadjust ndoto yako coz hayo mengine yote yanaendana.lkn ulivaa shati la kitenge na 4 angle maana hiyo ndio ishara kuu niliyoopewa.

Nakutumia picha yangu kukuthibitishia kama ni mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…