Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Here you go Miss Natafuta. What a perfect match?loh bahati hii imenipita
Kilo 95?? Si mtavunja chaga za kitanda cha watu??Nitakuwa na vacation tarehe 19/02/2017 wiki 1 au 2 nahitaji mdada atakayenipa kampani twende wote Nairobi kwa kipindi hicho, nina umri wa miaka 39, 95kgs niko Arusha. Pm kama interested.
Hii itakuwa touring tinapanda shuttle, ndege ni dka 45 tu sasa raha gani, au kama ni mara yako ya kwanza kupanda ndege poa tutaitumia.tunaenda kwa bus au kwa ndege?
Hapana nataka mtanzania mwenzangu maana tutaelewana tabia na desturiUkikosa wa huko mkuu usipate shida niambie nikutafutie wa huku huku nairobi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au unataka kumbebesha UNGA WAKO!??Nitakuwa na vacation tarehe 19/02/2017 wiki 1 au 2 nahitaji mdada atakayenipa kampani twende wote Nairobi kwa kipindi hicho, nina umri wa miaka 39, 95kgs niko Arusha. Pm kama interested.
Shopping ni kuleAyaaa.... Kumbe kigezo ni kuwa mtanzania.... Shopping ya safari lini???
Kwani kule hakuna watanzania wenzako?Hapana nataka mtanzania mwenzangu maana tutaelewana tabia na desturi
Kilo 95?? Si mtavunja chaga za kitanda cha watu??