Natafuta mdada umri kuanzia 20-35

Bolshevick

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2013
Posts
355
Reaction score
247
Habari kama wewe ni mdada umri 20-35 ingia PM tuyajenge. Niko serious sana nahitaji furaha.
 
Jamani kila mtu na chaguo lake,mengine umbea tu
 
Tongozo halijafika hata form four hili, jazia jazia nyama na vi emoji vya makopa kopa liwe hata na diploma ung'oe dem kirahisi

Anaona aibu kutongoza hadharani, kachagua mafichoni, nadhani huko ndo utakutana na vi emoji na vingine
 
Katafute facebook au instagram utapata proposal kibao kisha utachagua anayekufaa
 
Habari kama wewe ni mdada umri 20-35 ingia PM tuyajenge. Niko serious sana nahitaji furaha.
Una nyumba mahali ambapo mafuriko yakija hapatakuwa na athari mbaya? Una kazi nzuri au biashara kubwa? Unamwamini Mungu na kujiepusha na kila aina ya uovu? Huyo mdada ni mchumba unatafuta?
 
Duh! Nilikuwa naonaga avatar yako, nilikuwa naimezea mate kwelikweli! Yaani 40 zilikuwa hazitimia tu, manake nilishatengeneza melody ilikuwa bado kidogo niweke vocal!
Aisee badilisha hiyo avatar, watu wataendelea kukutokea tu inbox wakitaka sukari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…