Bolshevick
JF-Expert Member
- Sep 2, 2013
- 355
- 247
Habari kama wewe ni mdada umri 20-35 ingia PM tuyajenge. Niko serious sana nahitaji furaha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tongozo halijafika hata form four hili, jazia jazia nyama na vi emoji vya makopa kopa liwe hata na diploma ung'oe dem kirahisi
una gari!!?
Una nyumba mahali ambapo mafuriko yakija hapatakuwa na athari mbaya? Una kazi nzuri au biashara kubwa? Unamwamini Mungu na kujiepusha na kila aina ya uovu? Huyo mdada ni mchumba unatafuta?Habari kama wewe ni mdada umri 20-35 ingia PM tuyajenge. Niko serious sana nahitaji furaha.
pointUna nyumba mahali ambapo mafuriko yakija hapatakuwa na athari mbaya? Una kazi nzuri au biashara kubwa? Unamwamini Mungu na kujiepusha na kila aina ya uovu? Huyo mdada ni mchumba unatafuta?