Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
Ndo unanitukana au...Empty set
Hiyo badoo yenyewe siijui hata ikoje.Nenda badoo mkuu
Habari za asubuhi wapendwa wangu.
Kam utashindwa kupata ya kwenda kunywa chai asubuhi.
Karibuni kwa yule ambae atakua tayari pm ipo wazi sitanii.
Sijawahi kukuvunjia heshima hata siku moja na sitowahi, Mungu akusamehe.Hutaki mwanaume wa kukupaka mafuta???
dah mtake radhi mshikaji, mbona unamkosea adabu hivyoHutaki mwanaume wa kukupaka mafuta???
Mkuu achana nae "keyboard" inampa kiburi...anaona kila mtu kwake ni sawa.dah mtake radhi mshikaji, mbona unamkosea adabu hivyo
Njoo kwangu dau langu 500kDau linaweza kupanda au lipo fixed?
Basi samahani mkuuSijawahi kukuvunjia heshima hata siku moja na sitowahi, Mungu akusamehe.
ile ya hivi au{......}[emoji23][emoji23][emoji23]Empty set
emmyta ww hutaki kwenda kwa huyu jamaaa?Khaaa.