Natafuta mdada wa kunichuna wa hapa JamiiForums

Shida na raha

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
3,773
Reaction score
3,471
Habari za asubuhi wapendwa wangu.
Kama kichwa cha habari kinavyosema.
Wengi wetu tunalalamikia kukaza kwa vyuma, ni kweli vimekaza lakini mbona akijitokeza mtu alainishe japo kidogo hamtaki?

Sidhani yasemwayo kama ni kweli...haya ambaye yuko tayari aje tuvilegeze ili siku ziende mbele.
Bajet ni laki mbili na hamsini ya kunywa, kula na kulala.

Hakuna haja ya mahoteli maana utashindwa kupata ya kwenda kunywa chai asubuhi.
Karibuni kwa yule ambae atakua tayari pm ipo wazi sitanii.
 
Ulete mrejesho kama maombi yamekuzidia inawezekana tuona povu kumbe pm kumejaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…