Ha ha ha ha umefanya nicheke sana mkuu, na kweli afanye hivyo,Ulete mrejesho kama maombi yamekuzidia inawezekana tuona povu kumbe pm kumejaa
Mbona linatosha sana tu au wewe ulitaka lipande?Dau linaweza kupanda au lipo fixed?
hhhhh cku zote nimezoea kuona wanaume huwa ndo tunalalamika kuwa wanawake wanatuchuna sana.....leo nashangaa jamaa kajiingiza king mwenyewe.nasubiria vyamdeko waje!!!Hahahaaaa. Hapana aiseee.
Usawa wenyewe huu nimejikuta namuonea huruma sababu nikisema nijitose kwenda kumchuna basi nina imani atabaki mifupa. Teh teh.
Unaona mambo yenu watz umeona kama ntapata haya chukua wewe ni nikose.Njoo kwangu dau langu 500k
Nitakukaribisha sehemu ntakayokuwepo kwani unatumia kinywaji gani.Ulete mrejesho kama maombi yamekuzidia inawezekana tuona povu kumbe pm kumejaa
Hahaaa. Mie pia nimejikuta nashangaa kulikoni leo.hhhhh cku zote nimezoea kuona wanaume hua ndo huwa tunalalamika kuwa wanawake wanatuchuna sana.....leo nashangaa jamaa kajiingiza king mwenyewe.nasubiria vyamdeko waje!!!
Mimi si ndo nimetoa nafasi ya kuchunwa we njoo usijali, naomba uje uniachie nauli ya dala dala tu.Hahahaaaa. Hapana aiseee.
Usawa wenyewe huu nimejikuta namuonea huruma sababu nikisema nijitose kwenda kumchuna basi nina imani atabaki mifupa. Teh teh.
Kwenye hiyo hela hajatoa punguzo la bei,na kabla hajapunguza kumbuka sifuri moja haipoHahahaaaa. Hapana aiseee.
Usawa wenyewe huu nimejikuta namuonea huruma sababu nikisema nijitose kwenda kumchuna basi nina imani atabaki mifupa. Teh teh.
ngoja ya mkute......wenye hela wnyw hawataki upuuzi wa muundo huo et uanze kumpa offer demu ambaye hata humjui......matokeo yake atakurudishia offer ya kifoo!!!!!Hahaaa. Mie pia nimejikuta nashangaa kulikoni leo.
Asipokuwa makini atajikuta anatoa hadi zile ambazo hakuzitegemea.
Ila nadhani anatania tu. Sababu kwa jinsi pesa ilivyo ngumu eti aanze tu kutoa ofa zisizo na kichwa wala miguu.
Hahahahaaaa. Nikuachie nauli tena lol.Mimi si ndo nimetoa nafasi ya kuchunwa we njoo usijali, naomba uje uniachie nauli ya dala dala tu.
Hahahaaa. Umeonaeeeee.Kwenye hiyo hela hajatoa punguzo la bei,na kabla hajapunguza kumbuka sifuri moja haipo
Njoo tuzitengeze basi.Hahahahaaaa. Nikuachie nauli tena lol.
Pambana na hela yako Mkuu sababu mie huwa sina kawaida ya kufuja pesa.
Mkuu bia zinahusikaNitakukaribisha sehemu ntakayokuwepo kwani unatumia kinywaji gani.
Kama ngapi zinakutosha ila ukilala kaunta utachukuliwa na muhudumu ujue size yako.Mkuu bia zinahusika
Ndivyo ilivyo mamyHahahaaa. Umeonaeeeee.
Wala usihofu mi mzoefu utanigawia mmoja kati watakao ku-pmKama ngapi zinakutosha ila ukilala kaunta utachukuliwa na muhudumu ujue size yako.
ngoja ya mkute......wenye hela wnyw hawataki upuuzi wa muundo huo et uanze kumpa offer demu ambaye hata humjui......matokeo yake atakurudishia offer ya kifoo!!!!!
miss youHahahaa. Kama ni kweli hajajua kuwaza mbali.
Miss u too mumy. Vp hali yako?miss you
Basi samahani mkuu