Natafuta mdada wa kuzaa naye

Natafuta mdada wa kuzaa naye

lutelemla

Member
Joined
Jul 6, 2019
Posts
23
Reaction score
31
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31,
Naishi Dar es salaam- ubungo
Elimu : Bachelar
Ajira: mwajiriwa serikalini

Mdada nimtakae,

Awe na mpole na mwenye nia njema
Mzuri kiasi tu.
Umri: awe na umri usiozidi miaka 29
Mkazi wa Dar es salaam,
Elimu: Darasa la saba na kuendelea..

Ajira: asiwe na ajira au awe na ajira yoyote ni sawa tu,
Mimi nimejipanga kumhudumia mwenyewe, kikubwa akubali kubeba mimba tu, kujifungua na kushiriki kikamilifu katika kumlea mtoto wetu.

Dada aliyetayari kwa hilo aje inbox tuzungumze!.
 
mwamba tafuta mwanamke uowe acha kuja na mambo kama haya kwenye social media ..unatufanya wote tuonekane vilaza......

kama unatamani sana watafute huko mitaani ..humu sidhani kama kunamtu yupo tayari kufanya huu upuuzi
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31,
Naishi Dar es salaam- ubungo
Elimu : Bachelar
Ajira: mwajiriwa serikalini

Mdada nimtakae,

Awe na mpole na mwenye nia njema
Mzuri kiasi tu.
Umri: awe na umri usiozidi miaka 29
Mkazi wa Dar es salaam,
Elimu: Darasa la saba na kuendelea..

Ajira: asiwe na ajira au awe na ajira yoyote ni sawa tu,
Mimi nimejipanga kumhudumia mwenyewe, kikubwa akubali kubeba mimba tu, kujifungua na kushiriki kikamilifu katika kumlea mtoto wetu.

Dada aliyetayari kwa hilo aje inbox tuzungumze!.
Bachelor ya nini ulio pata? ili nisishauri ndg zangu kuisoma,
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31,
Naishi Dar es salaam- ubungo
Elimu : Bachelar
Ajira: mwajiriwa serikalini

Mdada nimtakae,

Awe na mpole na mwenye nia njema
Mzuri kiasi tu.
Umri: awe na umri usiozidi miaka 29
Mkazi wa Dar es salaam,
Elimu: Darasa la saba na kuendelea..

Ajira: asiwe na ajira au awe na ajira yoyote ni sawa tu,
Mimi nimejipanga kumhudumia mwenyewe, kikubwa akubali kubeba mimba tu, kujifungua na kushiriki kikamilifu katika kumlea mtoto wetu.

Dada aliyetayari kwa hilo aje inbox tuzungumze!.
Ipo shida mahali sio bure!
Ukihitaji mtoto wa pili, wa tatu, wanne, watano....unatoa tu matangazo.....Baba JINGA kabisa wewe, kuwa baba ni zaidi ya kumwaga mbegu.... parenting is about practice.
 
Alikuwa na haraka ya kutaka mwenza huyo jamaa
Kabisa, unabaki unajiuliza Bachelar ni neno la kiswahili au kingereza, au ni spelling error!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kabisa, unabaki unajiuliza Bachelar ni neno la kiswahili au kingereza, au ni spelling error!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Typing error. Neno la kiswahili ni Shahada.
Niwashauri vijana wa miaka ya hivi karibuni kwamba,, unaposoma andiko fulani, jikite zaidi kuuelewa ujumbe uliopo kwenye andiko hilo na sio usome huku ukitafuta cha kukosoa kwenye andiko hilo, tabia hii ni ujinga wa hali ya juu sana. Mwenye kutaka maarifa atanielewa namaanisha nini na atajitafakali lakini mpumbavu ataendelea kukosoa makosa ya kimaandishi badala ya kukosoa ujumbe uliomo kwenye andiko kisha kutoa maoni yake.

Nitolee mfano,
Mtu mmoja hapo juu kauliza, " mwezi April ulikuwa na diploma, leo September una bachelor?, Tuambie hicho chuo kinachotoa bachelor ndani ya miezi minne."

Ni hivi , kipindi naandika ujumbe huo nilikuwa ninamiliki cheti cha diploma wakati huohuo nikiwa mwaka wa tatu nikimalizia kusoma Bachelor Degree in........, Na sasa nimemaliza na matokeo yametoka sina supplimentary, unadhani leo nilipoandika andiko hilo ningesema kwa sasa nina diploma ???.
Kwa mtu mwenye akili na mwenye kufikilia kabla ya kutenda angejiuliza maswali kadhaa kabla ya kukutupuka kuja kuhoji swali la kitoto kama hilo.
Binafsi mtu huyo na mwingine wa aina hiyo nimewaza na kuwaona ni wapumbavu, walikwenda shule kujifunza ujinga, walikwenda shule kuchukua cheti na si maarifa, ndio hao wanaoshinda vijiweni wakiilalamikia serikali haiwapi ajira wakati serikali iliwapa mikopo wakasoma akili zao zinawatuma serikali iliowapa mikopo ndo hiyo hiyo wanasubiri iwape na ajira pia na ndio hao hao wanaotaka kazi za raha raha tu hususani za kukaa ofisini wakiwaza kuiibia serikali na kupiga madili, wanaamini msomi yeyote alitoka kimaisha kwa njia za madili tu na sii taaluma na uwezo wake, ni watu pia wanaoamini kazi hupatikana kwa njia ya CONNECTION na si uwezo binafsi, ndio maana wamegeuka kuwa na wasomi "makasuku" wanaokariri bila kufikiri, Fikra zao ni Tasa, hazigawanyiki kuwaza mambo kwa upana zaidi.

Niwatakie jioni njema wale wenye akili na maarifa lakini kwa wale wajinga wanaojiona kuwa wao ni sahihi kwa kila kitu waendelee kubanua madomo yao vijiweni.
 
April ulikuwa na diploma, this September uko na bachelor!! Naomba tuelekezane hicho chuo kinachotoa bach ya miezi minne.
Kuna mtu anaitwa allency nimemjibu kwa kirefu msome hapo chini maana alikuunga mkono kwa swali lako,
 
doh...wadada kazi mnayo...sikuizi imekuwa manufacturing industry.... 😆 😆
Hahahaha ah wajanja wamesha jajaruka...ya nini uoe upate stress za kijinga wakati mbususu zimejaa tele. Wacha wawe manufacturing industry tuu maana sifa za kuwa wake wengi hawana
 
Hahahaha ah wajanja wamesha jajaruka...ya nini uoe upate stress za kijinga wakati mbususu zimejaa tele. Wacha wawe manufacturing industry tuu maana sifa za kuwa wake wengi hawana
naunga mguu hoja
 
Back
Top Bottom