Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Fursa kubwa hiyo hakikisha unashtuka kweli kweli.🤣🤣🤣 Unautaratibu wa kusoma Comment za juu manka?
Fursa ikikuita Shtukaa. Then Kaa mguu sawa.🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fursa kubwa hiyo hakikisha unashtuka kweli kweli.🤣🤣🤣 Unautaratibu wa kusoma Comment za juu manka?
Fursa ikikuita Shtukaa. Then Kaa mguu sawa.🤣🤣🤣
Poultry Management, planning, production. Super Feeds Formulations na kila kitu. 🙂Tapeli huyo. Una mtaji what else do you need?
Baba ulizeni na sio kutupana maneno hapao taji sio mamilioni wala nini mtaji ni akili na pesa kiasi kit aka hi wezesha biashara kazi kuanza na kuiendesha Ndio maana tunahtaji wenyewe maeneoFursa kubwa hiyo hakikisha unashtuka kweli kweli.
Itabidi tukajumuike wote. Usijesema tulikunyima fursaFursa kubwa hiyo hakikisha unashtuka kweli kweli.
Nna jamaa yangu ana mabanda yake huko miyuji kama unaweza kuyalipia kodi nikuulizie maana kwa sasa yeye hayupo huko.Baba ulizeni na sio kutupana maneno hapao taji sio mamilioni wala nini mtaji ni akili na pesa kiasi kit aka hi wezesha biashara kazi kuanza na kuiendesha Ndio maana tunahtaji wenyewe maeneo
Nina eneo Nala karibu na ring road junction pale.NATAFUTA MDAU WA KUSHIRIKIANA NAE KUFUGA KUKU DODOMA AMBAE MWENYE ENEO NA NIA YA BIASHARA HII MTAJI NINAO NA MASOKO PIA
Tabia hiyo sina kabisa mbona zabibu mnaninyima sisemi.Itabidi tukajumuike wote. Usijesema tulikunyima fursa
Zabibu zinamashetani na kisirani zinabagua wenyeji na wakuja.🤣🤣Tabia hiyo sina kabisa mbona zabibu mnaninyima sisemi.
Sawa tajiri pokea fursa ya kuku na nyie si mnapendaga kuku sana, hizo zimekufikia.Zabibu zinamashetani na kisirani zinabagua wenyeji na wakuja.🤣🤣
Nataka nijamiiane nao niwauzie Chakula Bora kabisa, Naona Kuna kitu🙂Sawa tajiri pokea fursa ya kuku na nyie si mnapendaga kuku sana, hizo zimekufikia.
Si ndioo kujamiiana kuzuri na kunalipa wauzie chakula bora wapate matokeo bora.Nataka nijamiiane nao niwauzie Chakula Bora kabisa, Naona Kuna kitu🙂
Nna jamaa yangu ana mabanda yake huko miyuji kama unaweza kuyalipia kodi nikuulizie maana kwa sasa yeye hayupo huko
0742818772 nichek tuongeeNna jamaa yangu ana mabanda yake huko miyuji kama unaweza kuyalipia kodi nikuulizie maana kwa sasa yeye hayupo huko.
Ni mfupi mfupi alikua anafuga na nguruwe? Anamwili wa gym?Nna jamaa yangu ana mabanda yake huko miyuji kama unaweza kuyalipia kodi nikuulizie maana kwa sasa yeye hayupo huko.
Ntakucheki ngoja niongee nae kwanza kama yapo wazi.0742818773 nichek tuongee
SawaNtakucheki ngoja niongee nae kwanza kama yapo wazi.
Nguruwe hapana na sio mfupi hana mwili wa gym na akitokeza linaanza kuonekana tumbo.Ni mfupi mfupi alikua anafuga na nguruwe? Anamwili wa gym?
Kwa nnume conclude hvy?Tapeli huyo. Una mtaji what else do you need?
Huyo kama namjua jina lake linaanza na herufi gani?Ni mfupi mfupi alikua anafuga na nguruwe? Anamwili wa gym?