Natafuta mdau/mwekezaji wa ku-support idea yangu ya biashara ya ukopeshaji, micro credit

Natafuta mdau/mwekezaji wa ku-support idea yangu ya biashara ya ukopeshaji, micro credit

Beatus Alex

Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
43
Reaction score
33
Habarini wana jamii forum, Natumai mko poa na tunaendelea salama na majukumu ya kujenga Taifa.

Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 27 mwenye elimu ya ngazi ya ordinary diploma in Accountancy (diploma ya uhasibu) Nimebahatika kufanya kazi katika kampuni ya mikopo kwa kipindi cha miaka mitatu 3 mpaka sasa.

Nina mengi yenye faida juu ya hii biashara na pia nina uzoefu wa kutosha kuhusiana na kazi hii kwa mapana zaidi.

Ni ombi langu kwenu kwa yeyote mwenye nia na mtaji wa ku support idea yangu ya hii biashara.

Niko Tanzania, mbeya
Phone no. 0628667612
Niko seriously sana.

Karibu tujuzane zaidi.
 
Habarini wana jamii forum, Natumai mko poa na tunaendelea salama na majukumu ya kujenga Taifa.

Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 27 mwenye elimu ya ngazi ya ordinary diploma in Accountancy ( diploma ya uhasibu ). Nimebahatika kufanya kazi katika kampuni ya mikopo kwa kipindi cha miaka mitatu 3.paka sasa.

Nina mengi yenye faida juu ya hii biashara na pia nina uzoefu wa kutosha kuhusiana na kazi hii kwa mapana zaidi.

Ni ombi langu kwenu kwa yeyote mwenye nia na mtaji wa ku support idea yangu ya hii biashara.

Niko Tanzania, mbeya
Phone no. 0628667612
Niko seriously sana.

Karibu tujuzane zaidi.
Kusapot akukopeshe au akupe mtaji? Usikatishwe tamaa na hao wala haiihitaji hela nyingi,na ukipata mahala pazuri unatoka chap
 
Kusapot akukopeshe au akupe mtaji? Usikatishwe tamaa na hao wala haiihitaji hela nyingi,na ukipata mahala pazuri unatoka chap
Asante Kaka, awekeze pesa au anikopesha mtaji coz kikubwa ni pesa ya ku run iyo biashara mkuu.
 
Habarini wana jamii forum, Natumai mko poa na tunaendelea salama na majukumu ya kujenga Taifa.

Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 27 mwenye elimu ya ngazi ya ordinary diploma in Accountancy ( diploma ya uhasibu ). Nimebahatika kufanya kazi katika kampuni ya mikopo kwa kipindi cha miaka mitatu 3.paka sasa.

Nina mengi yenye faida juu ya hii biashara na pia nina uzoefu wa kutosha kuhusiana na kazi hii kwa mapana zaidi.

Ni ombi langu kwenu kwa yeyote mwenye nia na mtaji wa ku support idea yangu ya hii biashara.

Niko Tanzania, mbeya
Phone no. 0628667612
Niko seriously sana.

Karibu tujuzane zaidi.
Kwa maneno mengine unataka ukopeshwe ili ufungue biashara ya kukopesha.
 
Hongera mkuu, ukipata mfadhili wa kuweka hiyo pesa kuanzia 20M kama sheria inavyotaka, mtanipa kazi ya usajili wa kampuni na ufuatiliaji wa kibali cha BoT.
Nitafanya hayo kwa gharama rahisi kabisa.

0755963775 WhatsApp
 
Hongera mkuu, ukipata mfadhili wa kuweka hiyo pesa kuanzia 20M kama sheria inavyotaka, mtanipa kazi ya usajili wa kampuni na ufuatiliaji wa kibali cha BoT.
Nitafanya hayo kwa gharama rahisi kabisa.

0755963775 WhatsApp
Sasa huyu kijana kusajili na hivyo vibali si anafatilia mwenyewe.
Kwa nini akutumie wewe???
 
Sasa huyu kijana kusajili na hivyo vibali si anafatilia mwenyewe.
Kwa nini akutumie wewe???
Memart ataandaa mwenyewe?
Sasa huyu kijana kusajili na hivyo vibali si anafatilia mwenyewe.
Kwa nini akutumie wewe???
Kwa sababu mimi ni company promoter/agent . Ataamua yeye tu kama atapenda
 
Muweka mada wewe vigezo vya kumiliki microfinance huna.
Kigezo kimoja wapo lazima uwe na degree ya kwanza ya mambo ya fedha au uchumi, wewe una diploma.
Either urudi shule au uajiriwe tu lakini huwezi kuwa shareholder wa microfinance company.
Ooh! mwenyekiti MBA vipi?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom