Natafuta mdau/mwekezaji wa ku-support idea yangu ya biashara ya ukopeshaji, micro credit

Hongera mkuu, ukipata mfadhili wa kuweka hiyo pesa kuanzia 20M kama sheria inavyotaka, mtanipa kazi ya usajili wa kampuni na ufuatiliaji wa kibali cha BoT.
Nitafanya hayo kwa gharama rahisi kabisa.

0755963775 WhatsApp

Nadhani hapa BOT hawahusiki kwenye biashara hii maana risk ni pesa zako wewe mwenyewe,ingekuwa unadeposit pesa za watu hapo ndio BOT wangehusika
 
Nadhani hapa BOT hawahusiki kwenye biashara hii maana risk ni pesa zako wewe mwenyewe,ingekuwa unadeposit pesa za watu hapo ndio BOT wangehusika
Mkuu kwa biashara ya ukopeshaji ama microfinance ni takwa la lazima kisheria kuwa na leseni/kinali cha BoT na kina mashart na utaratibu wake wa kukipata.
 
Ukiwa serious share number zako za whatsap
 
Muweka mada wewe vigezo vya kumiliki microfinance huna.
Kigezo kimoja wapo lazima uwe na degree ya kwanza ya mambo ya fedha au uchumi, wewe una diploma.
Either urudi shule au uajiriwe tu lakini huwezi kuwa shareholder wa microfinance company.
Hapa tu ndo napoidharau jf, hivi vigezo vya umiliki we umevitoa wapi? Shareholder lazima awe na degree? Do your homework! Hakuna kigezo Kama hiki hapa Tanzania, speaking from experience!
 
Hapa tu ndo napoidharau jf, hivi vigezo vya umiliki we umevitoa wapi? Shareholder lazima awe na degree? Do your homework! Hakuna kigezo Kama hiki hapa Tanzania, speaking from experience!
Jamaa kaongelea degree inahitajika kwenye upande wa kupata leseni BoT sio kwenye kusajili kampuni brela
 
inahitajo mtaji kiasi gani chq kuanzia na je ni maheneo gani serikalini unatakiwa upite kama sheria yaani zile taratibu za usajiri
 
Wewe anza kukopesha kienyeji watu wanao kuzunguka aisee.
Kuna machinga Fulani town nilikua nawapa laki 1 kila mmoja halafu kila ijumaa wananipa elfu 30 kwa wiki 4, maisha yalikua kitonga!!
 
inahitajo mtaji kiasi gani chq kuanzia na je ni maheneo gani serikalini unatakiwa upite kama sheria yaani zile taratibu za usajiri
Mtaji ni kuanzia 20M.
Semu za kupita ili uanze biashara ni Brela, BoT, Halmashauri, TRA
 
Jamaa kaongelea degree inahitajika kwenye upande wa kupata leseni BoT sio kwenye kusajili kampuni brela
Kwa io brela watakusajilia kampuni usie na degree huku wakijua kabisa utanyimwa leseni ukienda BOT??? Kiufupi hiko kigezo hakipo kwa mmiliki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…