Natafuta mfadhili nitamlipa zawadi nzuri

Teheee teheee ni inbox namba yako kama vipi....chezea zawadi nzuri wewe subiri hapo uambiwe zawadi gani
 
sitaki tena ipo siku nitatoka tu
🙁🙁 Duuuh haya lakini niko serious,labda unijibu unafikiri ile pesa tutakayo invets itarudi baada ya mda gani ? ili tuweze kuona faida sasa.Kwa sababu tunapoingiza 5.5m ili tuhesabu faida ni lazima hii irudi lakini wakati huo huo ofisi iweze kujiendesha sasa yenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…