Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Msema kweli ni mpenzi wa mungu
Maisha ni magumu, mshahara hautoshi halafu ukitegemea mwanaume akupe hela hakupi kwanza anakudharau anakuona huna maana.
Nimefikiria kuanzisha biashara ya saluni ya wanawake lakini sina hela yoyote.
Mimi ni mfanyakazi wa kawaida kutokana na imani yangu siwezi kukopa maana mikopo yote ina riba na mikopo ya riba huwa hailipiki itakuwa tu nafanyia benk biashara.
Ninajua kuna watu wana roho nzuri humu kwahiyo naombeni yeyote mwenye kuguswa anisaidie mtaji kidogo wa kuanzisha biashara hii nipo vizuri najua italipa
Kinachotakiwa ni hela ya kodi ya nyumba mwaka
3,600,000 Tsh
Kununua vifaa vichache 2,000,000Tsh
Operesheni zingine zitajilipia
Kama mtu anataka pia kuwa business partner ila awe na million tano anakaribishwa.
Kutakuwepo na chain ya biashara nyingi tu ila tunaanzia hapo
Asanteni
Nipo dsm
Maisha ni magumu, mshahara hautoshi halafu ukitegemea mwanaume akupe hela hakupi kwanza anakudharau anakuona huna maana.
Nimefikiria kuanzisha biashara ya saluni ya wanawake lakini sina hela yoyote.
Mimi ni mfanyakazi wa kawaida kutokana na imani yangu siwezi kukopa maana mikopo yote ina riba na mikopo ya riba huwa hailipiki itakuwa tu nafanyia benk biashara.
Ninajua kuna watu wana roho nzuri humu kwahiyo naombeni yeyote mwenye kuguswa anisaidie mtaji kidogo wa kuanzisha biashara hii nipo vizuri najua italipa
Kinachotakiwa ni hela ya kodi ya nyumba mwaka
3,600,000 Tsh
Kununua vifaa vichache 2,000,000Tsh
Operesheni zingine zitajilipia
Kama mtu anataka pia kuwa business partner ila awe na million tano anakaribishwa.
Kutakuwepo na chain ya biashara nyingi tu ila tunaanzia hapo
Asanteni
Nipo dsm