Natafuta Mfadhiri na Management tufanye Biashara

Natafuta Mfadhiri na Management tufanye Biashara

shantao

Senior Member
Joined
Jun 1, 2023
Posts
106
Reaction score
181
Ndugu zangu na members wote wa JF habari za muda huu. Poleni na mihangaiko na harakati za kujitafutia walau mkono uende kinywani. Bila kupoteza wakati twende kwenye mada husika kama title ya thread inavojieleza.

Mie ni mzaliwa wa Mbeya na umri wangu ni miaka 23 pia n muhitimu wa chuo kikuu cha udsm kwa mwaka jana.

Ni mwanamuziki wa bongo flavour na mpaka sasa nina nyimbo zangu 87 ambazo nimeziandika mwenyewe na pia kuna baadhi ya wasanii wakubwa tu ambao nimewahi kuwaandikia nyimbo na zikafanya vizuri pia. Najua wengi mtaanza kujiuliza imekuaje anajuana na wasanii wakubwa then anakuja kuomba msaada huku, nitatoa stori yangu ili mjue chanzo.

Lakini kwa yeyote aliye tayari anitafute direct kwenye namba yangu 0744566124. Niamini hutojutia sababu namaanisha na najua nachokifanya.
 
....Last two weeks nilikuwa mbeya msibani nilifiwa na bibi yangu mzaa baba. Jamaa alinipigia na akaniomba kua anakazi anaiandaa ni collabo na msanii wa kenya so niwah kurudi ili tuwek mambo maana linapofika swala la uandishi hua ananiaminia. Nyumbani hawakuruhusu niondoke na ukizingatia tulikua tumetoka kuzika siku moja kabla ya yeye kunitafuta huku wazazi wakinisihi niachane na hayo mambo mana muda unakwenda na hakuna kinachoendlea.. Nilimuomba jamaa anipe 1week ili nijue nachekecha vipi maskani nisepe. Yeye akachukulia kama nimemdharau na si unajua wenye pesa zao wakitaka jambo lao lifanyike so alinimind. Wiki iliopita nikarudi then nikaenda tuonane akanitukana, akanambia nimeota mapembe najiona sabab anantumia sana kwenye kazi zake na hakuna popote ntapofika ni kama nasubiri meli airpot.
Licha ya kuomba sana msamaha niliishia kupigwa kofi na kutolewa nje kama wale mademu wa bongo muvi wanavofukuzwaga.
Pale studio nilikua nimerekod nymbo zng mim binafsi nne, nikamuomba bas anipe nkaanzie maisha akakataa.
 
....Last two weeks nilikuwa mbeya msibani nilifiwa na bibi yangu mzaa baba. Jamaa alinipigia na akaniomba kua anakazi anaiandaa ni collabo na msanii wa kenya so niwah kurudi ili tuwek mambo maana linapofika swala la uandishi hua ananiaminia. Nyumbani hawakuruhusu niondoke na ukizingatia tulikua tumetoka kuzika siku moja kabla ya yeye kunitafuta huku wazazi wakinisihi niachane na hayo mambo mana muda unakwenda na hakuna kinachoendlea.. Nilimuomba jamaa anipe 1week ili nijue nachekecha vipi maskani nisepe. Yeye akachukulia kama nimemdharau na si unajua wenye pesa zao wakitaka jambo lao lifanyike so alinimind. Wiki iliopita nikarudi then nikaenda tuonane akanitukana, akanambia nimeota mapembe najiona sabab anantumia sana kwenye kazi zake na hakuna popote ntapofika ni kama nasubiri meli airpot.
Licha ya kuomba sana msamaha niliishia kupigwa kofi na kutolewa nje kama wale mademu wa bongo muvi wanavofukuzwaga.
Pale studio nilikua nimerekod nymbo zng mim binafsi nne, nikamuomba bas anipe nkaanzie maisha akakataa.
Underground ukubali yote kuzaraulika kuonekana kituko, Sina hamu na hii kitu yataka Moyo, tafuta kazi uje kujifanyia promo na n.k, bila kuomba msaada kwa mtu, ukishatoka imeisha hiyooo.
 
....Last two weeks nilikuwa mbeya msibani nilifiwa na bibi yangu mzaa baba. Jamaa alinipigia na akaniomba kua anakazi anaiandaa ni collabo na msanii wa kenya so niwah kurudi ili tuwek mambo maana linapofika swala la uandishi hua ananiaminia. Nyumbani hawakuruhusu niondoke na ukizingatia tulikua tumetoka kuzika siku moja kabla ya yeye kunitafuta huku wazazi wakinisihi niachane na hayo mambo mana muda unakwenda na hakuna kinachoendlea.. Nilimuomba jamaa anipe 1week ili nijue nachekecha vipi maskani nisepe. Yeye akachukulia kama nimemdharau na si unajua wenye pesa zao wakitaka jambo lao lifanyike so alinimind. Wiki iliopita nikarudi then nikaenda tuonane akanitukana, akanambia nimeota mapembe najiona sabab anantumia sana kwenye kazi zake na hakuna popote ntapofika ni kama nasubiri meli airpot.
Licha ya kuomba sana msamaha niliishia kupigwa kofi na kutolewa nje kama wale mademu wa bongo muvi wanavofukuzwaga.
Pale studio nilikua nimerekod nymbo zng mim binafsi nne, nikamuomba bas anipe nkaanzie maisha akakataa.
Jamiiforum umu kuna wajuaji na watoa maoni hakunaga msaada wa aina yoyote. Usipoteze muda wako umu kuomba msaada.
Kama kweli upo serious akikisha una nyimbo walau tatu zilizokamilika. Ukiwa nazo siku yoyote nicheki chemba nikupe namba za wadau wakubwa kabisa kwenye hii industry. Kama kweli una kipaji watakusikia na utapata management nzuri ila hakikisha una kipaji haswa maana siku hizi kila anaeimba vizuri anaamini anaweza kuwa msanii.
 
Jamiiforum umu kuna wajuaji na watoa maoni hakunaga msaada wa aina yoyote. Usipoteze muda wako umu kuomba msaada.
Kama kweli upo serious akikisha una nyimbo walau tatu zilizokamilika. Ukiwa nazo siku yoyote nicheki chemba nikupe namba za wadau wakubwa kabisa kwenye hii industry. Kama kweli una kipaji watakusikia na utapata management nzuri ila hakikisha una kipaji haswa maana siku hizi kila anaeimba vizuri anaamini anaweza kuwa msanii.
Kwa watu wageni.... Jamiiforum most of daily commentators hatuna maajabu. Watu wa kusaidia na serious wapo ila hawapo bize kama sisi wavizia fursa humu. Kuna jamaa niliwahi kumdanganya humu naweza kuandika kitu Fulani... Jamaa akanialika Serena pale nkahudumiwa vizur mnooo. Alivyofika nikajitetea tu akanisaidia na nauli 50k pale.. madoni wapo humuhumu wakuu. Ila kama mgeni awe makini na watu ambao Kila Uzi wapoo
 
Unaweza kukutana na hao wadau wakakuchora tu, na hivi mtoto wa kike kutongozwa Basi, mi nilipitia hayo Mambo, unachimba dhahabu hupati yataka Moyo, na nilirekodi studio kubwa kwa projuza mkubwa aliyetoa watu na kukutana na wasani wakubwa, na niliwahi kuojiwa na redio moja, nimeachana na hayo maswala, bele 9, alifanya kazi tumbaku kakusanya Ela kajitoa mwenyewe Ila kabla ya hapo alikutana na hao wadau wakamchora tu, kila kitu Dua.
 
Unaweza kukutana na hao wadau wakakuchora tu, na hivi mtoto wa kike kutongozwa Basi, mi nilipitia hayo Mambo, unachimba dhahabu hupati yataka Moyo, na nilirekodi studio kubwa kwa projuza mkubwa aliyetoa watu na kukutana na wasani wakubwa, na niliwahi kuojiwa na redio moja, nimeachana na hayo maswala, bele 9, alifanya kazi tumbaku kakusanya Ela kajitoa mwenyewe Ila kabla ya hapo alikutana na hao wadau wakamchora tu, kila kitu Dua.
Waimbaji wazuri ni wengi sana. Wapo kila mtaa kila chochoro. Lakini lebo zinapata shida kusaini wasanii wakali zinawatafuta haziwaoni.
Kuna vitu vingi unaangalia mpaka uweke mamilioni yako kwa msanii la sivyo utachoma pesa na isirudi. Kuimba vizuri pekee haitoshi.
 
Katika underground 1000 wanaotoboa ni wa 3 .bila kuweka nyimbo tukutathmini unaweza poteza muda .weka hapa nyimbo nitakwambiq ukweli wa bure mm ni vidéo director nawaliq sana madogo hela ambao unamwambia hana kipaji haamini
 
Back
Top Bottom