saleni
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 1,880
- 2,843
Live [emoji16][emoji16] Ila unaweza kusema hawezi kumbe ni ndege mnana yale ya mmakonde wa washataa, si huyo katoboa Ila aliambiwa hawezi na majaji wa bongostar search.Katika underground 1000 wanaotoboa ni wa 3 .bila kuweka nyimbo tukutathmini unaweza poteza muda .weka hapa nyimbo nitakwambiq ukweli wa bure mm ni vidéo director nawaliq sana madogo hela ambao unamwambia hana kipaji haamini