Natafuta mfumo wa kutumia kwenye kampuni

Natafuta mfumo wa kutumia kwenye kampuni

Melxcom991

Senior Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
101
Reaction score
115
Viongozi habari zenu,
Naomba kwa yeyote anaejuwa mfumo unaoweza kutumika kweny kampuni ambao unaweza kutumiwa kweny hizi departments
1.Accounting
2.Inventory
3.Sales
4.Human resource
Etc.

Anisaidie jina lake
 
Viongozi habari zenu,
Naomba kwa yeyote anaejuwa mfumo unaoweza kutumika kweny kampuni ambao unaweza kutumiwa kweny hizi departments
1.Accounting
2.Inventory
3.Sales
4.Human resource
Etc.

Anisaidie jina lake
nicheki pm
 
Back
Top Bottom