Natafuta Mganga wa Mapenzi

Natafuta Mganga wa Mapenzi

Haina makombo, maji funda moja tu safiii

Sasa Pancrease hii cocktail (changanya marumba) unai'handle vipi ?
Huoni unaweza kum'mix Dereva na Kondawe ? Au headmaster na deputy wake ?
 
Raha ya vibabu utosi, mtoto mdogo utajua nini?

Kweli umefulia Kongosho.....hadi vibabu? nenda kaoge maji ya mto huko Sumbawanga utoe nuksi hakyanani...
 
Mbona naskia wewe umebobea kwenye ufreemasoni na kuongeza nguvu?

Unayo ya kumfukuza mpenzi aliye karibu?

Kongosho Njoo kwa mtaalamu Young_Master mganga aliyebobea kutoka Ufipa, sumbawanga upate dawa ya kumfukuza huyo usiyempenda.
 
hivi konnie yaani unanisimanga mchana kweupe kila mtu ananiona?
Hivi bishanga kuku maind imekuwa tabu?
By the way nikikwendea ujiji utapona wewe,si utakuwa unaniota mchana?
 
Mbona naskia wewe umebobea kwenye ufreemasoni na kuongeza nguvu?

Unayo ya kumfukuza mpenzi aliye karibu?

Hiyo dawa ninayo tena itamfukuzia mbali kama mbwa koko na ili dawa hiyo ifanye kazi inabidi nikupake mwenyewe. Njoo ofisini kwangu saa sita usiku ili nikupake hiyo dawa.
 
Ha ha ha ha ha, umenikumbusha panga la shaba lol
Unanipaka kwa kutumia nini? Cotton Bug?

Hiyo dawa ninayo tena itamfukuzia mbali kama mbwa koko na ili dawa hiyo ifanye kazi inabidi nikupake mwenyewe. Njoo ofisini kwangu saa sita usiku ili nikupake hiyo dawa.
 
Kongosho wenzio wanatafuta dawa wafuatwe, we unatafuta usifuatwe, dunia rangirangire wallah!
 
Kongosho unateseka nini wakati mganga yumo humu humu!
 
Back
Top Bottom