duh! wewe ni binadamu gani myenye mawazo yasio na akili na busara.
Hebu weka hayo mawazo yako yenye akili tuyaone.
Hebu weka hayo mawazo yako yenye akili tuyaone.
Dah!
Nipo nashkikiliza wimbo wa
Phil Collins - Every Day ninaupenda sana. Madame B mzima? Dah! Ningekua mkubwa yani yani yani lah! mawazo yenye akili na busara ni yale ambayo jamii ikuzungukayo ikayakubali kwa zaidi ya 90%
nilikua natafakari kosa langu hapo ni nini?
Usijali,Binadamu siku zote hatufanani.
Thank you so much cousin. At least you stood my side, It really hurts when someone label you ''STUPID''
stay blessed.
Ila si busara hata kidogo kutoa kauli hiyo hata kama hukupendezwa nayo.
Kama unaona vip si unaipitia Thread kushoto,unaendelea na safari?
Sio siri japo simjui mleta mada,lakini nimejisikia vibaya sana ulivomjibu manoah.
Thank you so much cousin. At least you stood my side, It really hurts when someone label you ''STUPID''
stay blessed.
:A S-confused1:
Na bado.
Ni binamu yangu,au hujaona.
Sema simjui kiundani ila ni binamu.
Kila la kheri. Umenikumbusha mchungaji flani alifiwa na mkewe. Akamuoa dada alieachika kwa kutopata watoto. Nadhani mchungaji alikuwa ameridhia kuwa no more kids. Ya Mungu mengi, yule dada alikuja gundulika akiwa na ujauzito wa miezi karibu sita. Ilikuwa shangwe mara mbili. Sina hakika kama yule mumewe wa kwanza aliwahi kubahatisha mtoto!
Ushauri wangu, usitafute mgumba. Tafuta mwanamke asie na plan ya kuwa na watoto zaidi. Kutafuta mgumba inaweza kumaanisha unataka kukwepa majukumu ya kushare responsibility za malezi. Unaweza kupata mwanamke mwenye watoto wawili mkawalea pamoja. Otherwise ningekuwa mimi mgumba ningeamini unataka mtu wa kumuegemea (nisingeweza kutenga hela zangu from malezi ya wanao).
Mkulu...pia waweza fanya vasectomy(kukata mirija ya uzazi) kama hauna haja tena na watoto
Ila si busara hata kidogo kutoa kauli hiyo hata kama hukupendezwa nayo.
Kama unaona vip si unaipitia Thread kushoto,unaendelea na safari?
Sio siri japo simjui mleta mada,lakini nimejisikia vibaya sana ulivomjibu manoah.