Natafuta Mgumba

Natafuta Mgumba

Nina watoto wawili. sitakii kuzaa tena. kwahiyo ninatafuta mwanamke mgumba ambaye nitaanza naye maisha as soon as posible.

Awe tayari kupima HIV. na awe mkristo. hakuna kigezo kingine kama ni shule nitamsomesha mimi

Natanguliza shukrani.

Kikelekwa , mfano na yeye ana watoto , pia hakuwa na mpango wa kuzaa, bahati mbaya akapata mimba itakuwaje?
 
Wahenga walisema kuwa uyaone sio magorofa kweli duniani kuna mambo
 
Mkulu...pia waweza fanya vasectomy(kukata mirija ya uzazi) kama hauna haja tena na watoto
hapo nakuunga mkono ndugu yangu nani anaependa ugumba ni busala angekata hiyo mirija ya uzazi yeye mwenyewe alafu angetafuta kipozeo sio mbaya.
 
Nina watoto wawili. sitakii kuzaa tena. kwahiyo ninatafuta mwanamke mgumba ambaye nitaanza naye maisha as soon as posible.

Awe tayari kupima HIV. na awe mkristo. hakuna kigezo kingine kama ni shule nitamsomesha mimi

Natanguliza shukrani.


Mbona hamrudishi matokeo?
 
Aisee ,wemjanja watamu hainakifani. Nnao kama wawili hivi lakin mmoja kshafika menopause. Naweza kukupasia mmoja.
 
Back
Top Bottom