Lisa
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 1,549
- 1,075
Nina watoto wawili. sitakii kuzaa tena. kwahiyo ninatafuta mwanamke mgumba ambaye nitaanza naye maisha as soon as posible.
Awe tayari kupima HIV. na awe mkristo. hakuna kigezo kingine kama ni shule nitamsomesha mimi
Natanguliza shukrani.
Kikelekwa , mfano na yeye ana watoto , pia hakuwa na mpango wa kuzaa, bahati mbaya akapata mimba itakuwaje?