Natafuta mizinga ya nyuki

BabuLeo

Member
Joined
Sep 12, 2018
Posts
29
Reaction score
13
Habari wadau,

Naomba kama kuna anayefahamu namna ninaweza kupata mizinga ya kufugia nyuki. Kwa ajili ya kuweka shambani kwangu. Ninahitaji michache kama mitano hivi.

Mimi nipo Dar es Salaam Ila nataka kuiweka Mlandizi.

Tafadhali Kwa anayejua wapi naweza kupata naomba msaada.

Asanteni sana.

 
Design zote zipo online hata youtube zimejaa na wanakufundisha namna ya kufanya, chagua design then tafuta seremala akutengenezee ni rahisi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…