Natafuta mke ambaye ni 'old fashioned'

Makubwa huyo Mke umempata kama umempata kazi anayo.
 
Nice.
 
Duh!
We mkali kweli kweli!!!
A true son of your father!!!
 
Lolol!
 
duuh!! eniwei namtakia kila la kheri huyo mwanamama
 
Haaaaaaaa!!!!!! Hii sio ndoa n gereza halafu utakuwa mnyanyasaji ww na sio mtu wa kawaida duh mm hata bila kutoa mahali sikutak mtu unajiinua kuliko hata mungu au ulijiumba mwenywe nn yani hakuna nmna yotote unaweza kuendesha maisha bila kushauriwa hasahasa na watu wa karibu sasa cjuw ww n mdogo wake mungu au la!. Lkn kazana unaweza mpata
 
Umeonaee
 
Kiongoz, wewe umetaja sifa zako 4; unataka mtarajiwa awe na sifa 20+

[emoji36][emoji36][emoji36]
 
" Ni mpole kiasi lakini mkali sana ukini chokoza" 😂😂😂😂
 
Kuna tofauti kubwa kati ya kuwa old fashioned na kuwa mshamba....

Mtoa maada ww upo kwenye kundi la pili...
 

🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka sana mpaka chozi limenitoka aisee dunia ina mambo,nampa pole mke
 
Dah!!
Mkuu ukimpata wa hivyo ndoa sijui itakuwaje.
Ndio hivyo hivyo lakini.
Hawa wanawake zetu wazazi wako busy kuwapeleka shule na kusahau kuwaelekeza part ya familia Ni tabu Sana.
Unajikuta umeoa mwanamke aafu unaanza kumfundisha namna ya kuwa mwanamke/mama.
Yaani yeye anachojua Ni kutiana tu ndio kazi ya mwanamke aliyeolewa.
Vingine vyote ziro.!!
Unajiuliza, huyu mama yake alikuwa wapi?
Hata kuchemsha chai?
 
Mwehhhh utakua na gubu sana..huku JF umekosea kuweka..huwezi kuwapata huku..nenda kijijini ongea na wazazi wako wakutafutie mke...kuweka hii thread humu ni wastage of time...do you real think utampata mke wa hivyo humu??? pole
 
OLD FASHIONED KWANI WEWE NI MUHAZABE MBONA UNATUMIA JF OLD FASHIONED WAPO MSITUNI SASA HIVI WANAKATA KUNI NENDA HUKO HATA NETWORK HAKUNA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…